aneth joseph
Senior Member
- Apr 22, 2016
- 135
- 89
Hahahshaha umenichekeshaDu yaelekea Lemutuz ni anajua kula bata tu ila kwa budget ya nguo mmmh very disorganized make sio kwa matambala yale!!!
Huu mwendokasi wa kuzuia mitumba utamuathiri sana le gaddem akili kubwaz!
Ndio Mmiliki wa minara yote ya simu!hv lemutuz ndo nani simfaham af naona watu wengi wanamzungumzia anajishuhulisha na nini
Mbona kanye west anavaaNimeyapenda tu hayo mavazi
Vazi la Diamond unatakiwa ujitoe Akili ili uvae maana kama ni Ustaa sijawahi kuona wakina Jay Z, 50 cent wamevaa hayo matambala.
Shati la Lemutuz lina uwezo wa kufunika Vitz mbili.
BABU NA MJUKUU...
hahahaahhaahahahahaha lol we mchokozi sana you know lol 😀😀😀😀😀😀Hahahaaaaa Le mbebeeez.Super humbled you know.
Anamiliki hii blog Blogu ya Wananchihv lemutuz ndo nani simfaham af naona watu wengi wanamzungumzia anajishuhulisha na nini
Zaidi zaidi ni kijana wa miaka 60.Anamiliki hii blog Blogu ya Wananchi
Halafu anapatikana hapa pia. l (@lemutuz_nation) • Instagram photos and videos
Lakini kikubwa zaidi yeye ni mtoto wa aliyewahi kuwa makamu wa rais wa inchi hii Mh,John Samwel Malecela.
Hahahaaaaaaa umefanya nicheke sana ubishoo ukizidi ni hatariYaani Diamond na hela zote hizo kaishiwa nguo namna hii!!
angeoa mwaka juzi ila aliahirisha dakika ya 88, hii ilikuwa baada ya michango kukamilika na ndio maana kuna mabilionea wanzake wanamdai michango hadi leoHivi ameoa huyu baba?
Umeandika mabilionea wenzake unamaanisha na huyo jamaa nae ni bilionea?angeoa mwaka juzi ila aliahirisha dakika ya 88, hii ilikuwa baada ya michango kukamilika na ndio maana kuna mabilionea wanzake wanamdai michango hadi leo
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Yaani Diamond na hela zote hizo kaishiwa nguo namna hii!!
asante kwa kunifahamisha ilo la kuwa mtoto wa fulani nilishawahi kulisikia ila nilikuwa nataka nijue anattrend sana mitandaoni kwa lipi kumbe hiyo brog uchwaraAnamiliki hii blog Blogu ya Wananchi
Halafu anapatikana hapa pia. l (@lemutuz_nation) • Instagram photos and videos
Lakini kikubwa zaidi yeye ni mtoto wa aliyewahi kuwa makamu wa rais wa inchi hii Mh,John Samwel Malecela.
asante kwa kunifahamisha ilo la kuwa mtoto wa fulani nilishawahi kulisikia ila nilikuwa nataka nijue anattrend sana mitandaoni kwa lipi kumbe hiyo brog uchwara
Huyu mzee pembeni ya Diamond ni nani? Ndo manager wa Diamond? Hivi karibuni nimekuwa nikimuonaona akiwa karibu na Diamond, hata kwenye picha za nyumbani kwa Diamond Madale huyu mzee amekuwa akionekana. Ni nani yake?
View attachment 364923
Ndo ninacho kupendea ni mwendo wa fact tu.. ETI UNAOA Lini huyo le super mtindizzzzzzzzzzzzzz?- Ukweli ni kwamba mimi na yeye yaani Diamond tupo pamoja under VodacomTanzania, ndio maana nilienda naye UDOM, Mwanza na Neyo na this trip, mimi sio Meneja wake na wala sifanyi kazi kama hizo nina kazi zangu za Social Media ambazo zinanilipa na nazipenda sana!!
le Mutuz
Ndo ninacho kupendea ni mwendo wa fact tu.. ETI UNAOA Lini huyo le super mtindizzzzzzzzzzzzzz?
Ha ha ha haaaaa.... Mbafu ssangu mieNi mlinzi mpya huyo, anasaidiana na huyo jamaa mwenye miwani
Le Mutuz naomba kazi. toka nimemaliza chuo sina mtaji wa kuanzisha biashara.niajiri basi ili na mimi nijiajiri you know- Nikiwa tayari kwa sasa bado nipo nipo U know hahahahahahah
le Mutuz Nation