flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
Huwezi kuwa na mtoto kama mimi lemutuz maana mimi nina akili darasani ..hata tukocompare vyeti hapa kuanzia O-level, A-level mpaka chuo wewe hunikamati kwa lolote,maybe kwa mashauzi ndio ckuwezi,na hao watoto ulionao wamebebwa na mke wako aliekutaliki na huna right hata ya kuwaona unaishia kujitapa tu,so huo umaarufu wako kunuka utaishia hvy hvy kubeba viatu vya wanaume wenzako,tena mtoto ambae unamzaa anakubebesha viatu,hizo degree 3 hazijakusaidia chochote.- hahahahahaha ningekuwa na mtoto kama wewe ningejiua maana mtoto anayefuatilia maisha ya wanaume asiowajua kwenye mitandao na majina ya bandia ni hasara kama sio liziki U know hahahahahahaha
le Mutuz