Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India

Je, Diaspora wetu wana mchango wowote kuisaidia Tanzania kisiasa? Wana any influence kwenye siasa za nchi yetu? Angalia Diaspora wa India

Mkuu Pascal Mayalla hongera kwa mjadala. Wewe ni msomi na nina hakika unaelewa vizuri unachoandika. Umehoji mchango wa Diaspora kwenye SIASA.

Na SIASA ni "concept" inayoendana na matendo yenye lengo kuu la kushindania kushika madaraka. Siasa inaendana na matendo ya ki-HARAKATI.

Siasa inaweza kufanywa kupitia ushiriki kwenye vyama vya siasa au kwa njia nyingine, kwa mfano kupiga kura, kuongeza ushawishi wa kukubalika kwa hoja ("awareness-raising") kupitia maandamano, migomo, nakadhalika. Mfano ni huo wa Diaspora wa kihindi wafanyao harakati kuunga mkono BJP.

Kwa hiyo kwa kifupi Mkuu Pascal unahoji mchango wa Diaspora kwenye HARAKATI. Naona hili inabidi liwe wazi maana wachangiaji wanaleta mambo ya "makontena", "fursa", "utalii", nakadhalika!!

"Video clips" ulizoweka kwa kiwango kikubwa zinazungumzia changamoto ya Uraia Pacha. Ni hiyo ya mwisho ya mahojiano na Diaspora Ali Salim Ali ndio inatoa picha kidogo ya changamoto za ushiriki wa Diaspora wa Tanzania kwenye harakati.

Na hiyo story ya Diaspora wahindi nayo inaonesha changamoto za harakati na ndio maana mwandishi kakiri toka mwanzo kabisa, "The event, called the World Hindu Congress, was controversial"

Sasa ukioanisha hoja kuu uliyoweka ya ushiriki wa Diaspora kwenye siasa (harakati) na "video clips" ulizoweka zilizosheheni hoja ya Uraia Pacha, je ulitaka watu wajadili:

"Mustakabali wa Ushiriki wa Diaspora Kwenye Harakati na Hoja ya Uraia Pacha"?
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the economic muscles to help out shaping the political trends za siasa za nyumbani?, au wana diaspora wetu wapo wapo tu?

Angalie diaspora wa wenzetu India, walioko Marekani, wanafanya nini kwa ajili ya nchi yao, je diaspora wetu wanashindwa nini?
Mimi ni interested party ambaye napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.

Paskali
Kiukweli diaspora wetu katika siasa zetu, ukiondoa individual efforts za diasporans kama Mzee Mwanakijiji, lakini diaspora wetu hawana mchango wowote katika siasa zetu.
P
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the economic muscles to help out shaping the political trends za siasa za nyumbani?, au wana diaspora wetu wapo wapo tu?

Angalie diaspora wa wenzetu India, walioko Marekani, wanafanya nini kwa ajili ya nchi yao, je diaspora wetu wanashindwa nini?



Mimi ni interested party ambaye napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.

Paskali
Rejea kuhusu diaspora.





Wewe Pascal uamuzi wa kuacha Uandishi ulikuwa sahihi lakini sijui kwanini umerudi na usibakie kwenye siasa. Kwenye siasa hutakiwi kutumia akili . Kama hao watanzania ambo wako hapo ndani wananyimwa haki ya ya kujiamulia nani awaongoze itakuwaje unaulizia Diaspora?
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the economic muscles to help out shaping the political trends za siasa za nyumbani?, au wana diaspora wetu wapo wapo tu?

Angalie diaspora wa wenzetu India, walioko Marekani, wanafanya nini kwa ajili ya nchi yao, je diaspora wetu wanashindwa nini?



Mimi ni interested party ambaye napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.

Paskali
Rejea kuhusu diaspora.





Hatuna tume ya uchaguzi
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the economic muscles to help out shaping the political trends za siasa za nyumbani?, au wana diaspora wetu wapo wapo tu?

Angalie diaspora wa wenzetu India, walioko Marekani, wanafanya nini kwa ajili ya nchi yao, je diaspora wetu wanashindwa nini?



Mimi ni interested party ambaye napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.

Paskali
Rejea kuhusu diaspora.





Ndio
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the economic muscles to help out shaping the political trends za siasa za nyumbani?, au wana diaspora wetu wapo wapo tu?

Angalie diaspora wa wenzetu India, walioko Marekani, wanafanya nini kwa ajili ya nchi yao, je diaspora wetu wanashindwa nini?



Mimi ni interested party ambaye napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.

Paskali
Rejea kuhusu diaspora.





Kwenye mahojiano na BBC, Rais Samia amezungumzia uraia pacha, unakuja!.
Big Up sana kwa Samia.
P
 
Diaspora wa India ukiwagusa tu mbaazi azinunuliwi, wale wananguvu kwao wanapeleka ajira pia Kodi India inaingia ,wakinunua kolosho kubangua India watu India upata ajila, dadadeki wa kwetu wao kudai urais pacha Kila uchwao
 
Anayekwamisha diaspora ya waTanzania kuchangia maendeleo nyumbani ni sheria za nchi ya Tanzania


15 December 2022

Ugumu wa Diaspora wa Tanzania kufanya biashara Tanzania vs Kenya

Diaspora wa Tanzania aliyechukua uraia wa nchi nyingine ana wakati mgumu sana kufanya biashara Tanzania, tofauti na kama akienda nchi nyingine ya Afrika Mashariki kama Kenya au Rwanda nk.


Source : EBM Swahili
 
Wanabodi,

Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the economic muscles to help out shaping the political trends za siasa za nyumbani?, au wana diaspora wetu wapo wapo tu?

Angalie diaspora wa wenzetu India, walioko Marekani, wanafanya nini kwa ajili ya nchi yao, je diaspora wetu wanashindwa nini?



Mimi ni interested party ambaye napenda kuona Tanzania tunafaidika na mchango wa wana diaspora wetu wenye exposure kubwa huko walipo, kuitumia kulisaidia taifa letu kisiasa, kiuchumi cha kijamii.

Paskali
Rejea kuhusu diaspora.





Tukiacha ushabiki na kulishwa maneno kama majibu ya maswali yote mawili kwako ni "Ndiyo" basi unatakiwa kuunga mkono dual citizenship kwa wazawa wa Tanzania

1. Je unataka Watanzania wazawa ambao wako nje (Disapora) wapate haki sawa kwenye jumuia ya Africa mashariki kama wenzao wa Kenya na nchi nyingine? Kwa sheria za sasa diaspora wa kenya ana haki nyingi Tanzania kuliko diaspora ambaye ni mzawa wa Tanzania kwasababu diaspora wa Kenya anakuja kama Raia wa Kenya na huyu wa Tanzania anakuja kama mgeni/tourist.

2. Je unataka Watanzania Dispora huko walipo wawe ha haki sawa kama diaspora wa nchi nyingine?.

Hakuna Mtanzania namjua mimi amewahi kukana Uraia. Kukana Uraia ni utaratibu ambao una kuwa na barua ha hati ya kukana au kiapo cha kukana. Sifahamu mtu ambaye amekana Uraia wa Tanzania. Sheria ya Tanzania ndiyo inalazimisha neno Kukana na hii ndiyo kesi iliyopo mahakamani.

Uraia wa huko wanapoishi utawasaidia mambo ya msingi kama
(1) Kupata kazi nzuri
(2) Kupata bima za maisha
(3) Kuweza kusomesha watoto
(4) Kuhakikisha uwekezaji wao unalindwa kisheria.

Ngoja niwape mfano mdogo mimi binafsi mke wangu ambaye hakuwa na Uraia wa USA alikuwa na kuumwa sawa baada ya kumleta kutoka Tanzania. Tulipoenda Hospitali wakasema ni lazima afanyiwe operesheni haraka sana Vipimo tu vilikuwa $30,000 lakini operesheni ilikuwa $235,000. Mimi kwasababu ya bima yangu ambayo nisingeweza kuipata kama nisingekuwa Raia nililipia $3,000 tu na sio $265,000 ambazo ni gharama halisi. Hata Watanzania wenzangu wasingeweza kunisaidia.

Hizi ndiyo sababu kubwa za diaspora kuchukuwa Uraia wa nchi nyingine. Huwezi kukaa sehemu unafanya kazi usaidie familia nyumbani halafu tena kuna haki huna wakati wenzako wa kenya ambao mnashindana kwenye kazi hizo hizo wana haki zote. Hivyo badala ya kulishwa maneno tuwaulize kwanza diaspora ni kwanini wamechukuwa Uraia wa nchi wanazokaa na majibu kwa wanaojua sio ya kibinafsi bali ni ya kifamilia.

Hii ndiyo sababu umeona mabalozi wengi wa Tanzania wanaunga mkono kwasababu wanaelewa maisha halisi ya huku.
Nakuunga mkono, mimi na wife wangu kwanza tulihamia UK, kisha US, mimi nimeendelea kuwa Mtanzania, mwenzangu ni US subject, nilipopata ile ajali, nimetibiwa na support from her!.

Watanzania wengi wanaojilipua, wanajilipua kwasababu ya circumstances na sio kuukana Utanzania wao. Turuhusu dual citizenship!.

Tukiruhusu dual citizenship, diaspora wetu, watafanya mambo makubwa kama diaspora wa India, Nigeria, Ghana na Kenya.
Haya mambo ya diaspora tumeyaongea sana humu

P
 
Back
Top Bottom