- Thread starter
- #21
Nitumie hiyo namba inboxUmepata msaada, niko mbeya nikupe namba ya fundi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie hiyo namba inboxUmepata msaada, niko mbeya nikupe namba ya fundi?
Naomba ufafanuzi,ina maana huu usumbufu wote ninaoupata ni kwa sababu dish langu siyo la 120cm?
Ndiyo
Hiyo zamani, sasa hivi wapo vizuri.Hakuna king'amuzi kibovu Kama cha Azam, mawingu yakibadilika na chaneli zinabadilika
OK!lbn ni nini?
Ila akumbuke kuweka na 25,000 ya kifurushi cha mwezi hapo inakuwa. 80,000Kanunue king'amuzi cha dishi tu now bei ya offer 55,000,tafuta fundi akusetie uelekeo.