Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

Je, Dkt. Mpango ndiye Rais ajaye?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Katika mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine. Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
 
...akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Ok, mmepandishiwa mishahara, nini kimebadilika kwenye maisha yenu?

Vilio vimeongezeka kuliko wakati wa yule aliyewanyima nyongeza, japo sitetei kunyimwa stahiki zenu. Tozo kila utakapokanyaga.
 
Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Acha kutudanganya habari ya mfumo,huu ni mtizamo wako unataka uone wanazengo watasemaje!!
 
Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.

Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!

Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Philip Isdory Mpango atastaafu na Samia wake, wote washachoka 'wanazeeka pamoja'

Anayefuata baada ya Samia waulize TEC
 
Ungewauliza kuanzia mwaka gani?
Kwa mujibu wa TEC ..Mpango ndo anatakiwa aanze mwaka 2025...
Labda swali lako la atakuwa Mzee Sana mwaka 2030 wameshindwa kukujibu sababu wanajua wao vipi mwaka 2025 watafanya ...kumtoa Samia...

Au labda tayari wanafanya?
Pengine waraka ni sehemu ya hiyo mikakati?
 
Anaweza kuanza hata kabla ya 2025; wewe ulijua samia atakuwa rais 2021?!
Ni kweli mkuu FDR atawala kwa miaka 12 sijui mpango baada ya 12 atakua na umri gani!!?coz yaonekana fdr alitawala akiwa kitini mlemavu je huyu nae atakua kitini KWA muendelezo ule wa KUPONA corona akiwa chini ya uangalizi mkubwa wa doctors!!?

"Am feeling a terrific headache" then he fall down Dead! FDR!!
 
Back
Top Bottom