You nailed it !Ok, mmepandishiwa mishahara, nini kimebadilika kwenye maisha yenu?
Vilio vimeongezeka kuliko wakati wa yule aliyewanyima nyongeza, japo sitetei kunyimwa stahiki zenu. Tozo kila utakapokanyaga.
Haswaaa !!Kama leo watu wanawaza uchaguzi badala ya kuwaza kukamilisha mipango ya maendeleo, basi kama Nchi swala la maendeleo tutalisikia kwenye CNN, Aljazeera, BBC, France 24, etc.
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Jabali ni JG Mlawi au?Mkuu lakini jabali limekaa kimya sana!!
Au ndio linapanga mkakati wake litakaposhika hatamu!!?
Yaani linachora ramani ya operation thunderstorm sio!!?
Kama mlivyo mtabilia Salim kikeke... 😃😃😃, na ikwa kweli...Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Mengine ni stories tu Tusubiri mipango ya Mungu !!Lakini mkumbuke hayo mnayowaza na mkumbuke mungu yupo anawasikia kabisa hayo mnayo danganyana.
Ukitoka kwenye mazungumzo kafanye mazungumzo mengine na Dr. Ghalib Bilal na Kayanza PeterKtk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Inasikitisha sanaKama leo watu wanawaza uchaguzi badala ya kuwaza kukamilisha mipango ya maendeleo, basi kama Nchi swala la maendeleo tutalisikia kwenye CNN, Aljazeera, BBC, France 24, etc.
LINDO lako LI wapi ndugu " Watchtower".History inaweza kuandikwa Mpango akawa Mkuu wa Nchi wa kwanza ambae hajawahi kuwa kwenye Ballot paper
Huyo mwacheni akapumzike nyumbani kwake,Chanika.Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Kama Samia mwenye nasaba na Oman!TEC wanapenda warundi.. JPM,Mpango..
Huyu mpango , mwaka gani kwanza maana 2025 uchaguzi ukifanyika ccm inaondoka mpende msipende ,chukua hii, 2030 mpango atakua amezeeka ,Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
2030 kutakua na vijana ambao watapambana na Chadema ikiwa madarakani, ila hawataweza maana ccm wakati huo itakua imechakaa mara 20, kama ccm wataweza kukirudisha mchezoni chama may be 2035, nayo itategemea wapi chadema watakua wamefail katika kuwatumikia wananchiKtk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".