Je, Donald Trump kukamatwa Jumanne ijayo? Awataka Wamarekani (Republicans) kuanzisha Maandamano nchi nzima, Elon Musk atoa neno

Je, Donald Trump kukamatwa Jumanne ijayo? Awataka Wamarekani (Republicans) kuanzisha Maandamano nchi nzima, Elon Musk atoa neno

Trump hatokuja awe rais wa Marekani, kamwe!

Ikishindikana kumdhibiti kwa kesi basi atauawa, jamaa hana akili.

Alishindwa kuielewa sera ya mambo ya nje ya Marekani ambayo rais yeyote akiingia lazima aifuate. Yeye kaleta ujuaji na kuhatarisha maslahi ya Marekani. Hawawezi kumwacha.
 
Back
Top Bottom