Je, DRC kujiunga EAC kutaleta amani Mashariki mwa Kongo?

Je, DRC kujiunga EAC kutaleta amani Mashariki mwa Kongo?

jiwekuu770

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
2,246
Reaction score
1,645
DRC ni moja ya nchi zilizopo Ukanda wa maziwa makuu!!

Nchi hii imefanikiwa kujiunga na EAC hivi punde baada ya kupewa uanachama hapo 22Novermber 2021

Aidha uamuzi huo umekuja baada na timu ya EAC kwenda DRC kujiridhisha na utimilifu wa vigezo hapo 26june had 5 july

KIFUATACHO
-Itakua n miongoni mwa wanachama ikikamilisha mwanachama wa 7
-Itashare passport moja ya East africa passport
-Wananchi wake hawatahitaj visa kuingia uganda na rwanda
-wafanya biashara na wananchi watafaidika na free movement katka nchi wanachama

UTATA
-Je, DRC itaweza kusolve suala la usalama linaloikabili?
-Je, Rwanda na Uganda bado zitaendelea kufanya uasi DRC kwa nchi mwanachama?

-Jumuiya itafanikiwa kuwasambaratisha wanaasi wa ADF ambao watakua wanamadhara kwene umoja wa nchi wanachama?
 
DRC imegwe vipande vipande ili iweze kutawalika maana inaonekana utembo unairudisha sana nyuma
 
DRC ni moja ya nchi zilizopo Ukanda wa maziwa makuu!!

Nchi hii imefanikiwa kujiunga na EAC hivi punde baada ya kupewa uanachama hapo 22Novermber 2021

Aidha uamuzi huo umekuja baada na timu ya EAC kwenda DRC kujiridhisha na utimilifu wa vigezo hapo 26june had 5 july

KIFUATACHO
-Itakua n miongoni mwa wanachama ikikamilisha mwanachama wa 7
-Itashare passport moja ya East africa passport
-Wananchi wake hawatahitaj visa kuingia uganda na rwanda
-wafanya biashara na wananchi watafaidika na free movement katka nchi wanachama

UTATA
-Je, DRC itaweza kusolve suala la usalama linaloikabili?
-Je, Rwanda na Uganda bado zitaendelea kufanya uasi DRC kwa nchi mwanachama?

-Jumuiya itafanikiwa kuwasambaratisha wanaasi wa ADF ambao watakua wanamadhara kwene umoja wa nchi wanachama?
ni vigumu vurugu hizo kumalizwa kwa sababu ya kujiunga EAC, vurugu hizo ni za kikabila na zinachagizwa vilivyo na masuala ya uchumi. Burundi wametulia tu sasa hivi lakini makundi yapo, Rwanda ni mkono wa chuma wa PK ndio unaituliza na wala si EAC, Amini alianza kutuvurumishia mabomu wakati alikuwa mwanachama mwenzetu EAC tena akiwa mwenyekiti kama sikosei. Hivyo kwa CONGO DRC safari bado ni ndefu kuwatuliza kabisa
 
Back
Top Bottom