Je, dunia inahama kutoka kutumia TAKUKURU kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye miradi ya Serikali mpaka kuitumia PPP, is this also a New World Order?

Je, dunia inahama kutoka kutumia TAKUKURU kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye miradi ya Serikali mpaka kuitumia PPP, is this also a New World Order?

Dunia iko Kasi sana.


Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa tukiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii na kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.

Wakati PPP Tanzania ikichukuliwa kama chanzo Cha Upigaji wa Mali za Umma wa Watanzania huko duniani PPP ndio kama TAKUKURU ya Tanzania, hapa kama nchi mnaweza mkaelewa umuhimu wa PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu.

Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa kupinga Rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana na ile ya Marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia mojawapo ya kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi ya Serikali na mengine mengi,

Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,

Hivi Watanzania tunafahamu kila mwaka tunalipa Kodi ili ziende kuendesha denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL? kama huelewi nenda kasome ripoti za CAG,

Natamani kuona siku moja miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara.

Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho.


My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.


Take Five,

Kama PPP haina ulaji haiwezi kupendwa
 
Hakuna watu wanakula rushwa kama watu wa barabara, hii anzia juu mpaka chini ni upigaji tu, barabara kila mwaka kutengenezwa ,ngoja tuone na hizi za PPP
Ishu sio PPP, ishu ni standards. Je, ubora unaotakiwa ndio huo watakaojenga ama? Maana wachina wanakuwa na options kulingana na wewe utakavyo, wanaweza wakajenga sub standard ili wewe upate ganji yako as long as wamekula share yao halali.

Kwa nchi ambayo iko so corrupt kama yetu ni vigumu kuniaminisha kuwa hio PPP haitakuwa na element za janja janja na rushwa. Watu waliopo serikalini wengi wanatajirikia kwenye miradi kupitia hongo za 10% za fedha za miradi na overstating ya gharama ya ujenzi.
 
Hivi upo Serious Mkuu au hii ni Sarcasm.., Hakuna sehemu ya Upigaji kama PPP kuna loopholes za kutosha vilevile kwanini tutumie Kodi za mwananchi kuweka rehani kama PPP ikienda belly Up kwanini Private wasifanye jambo kivyao kuanzia mwanzo mpaka mwisho why partneship ? Mambo ya Huduma Serikali iyafanye fully mengine private wafanye kwenye free market..., kwenye asset zetu tuwape watu lease waendeshe hizi ndoa ni mirija ya watu kujivunia pesa

Hakuna kitu CCM watakipigia debe kama hakina maslahi kwao. Hio PPP tutakuja kupigwa kwa style ya pekee sana. Kwanza kwenye charges za kila siku kutumia hizo barabara tozo lazma serikali ile % na mwisho wa siku hio barabara itakuwa ya kulipiwa milele. Serikali haitataka kuiacha free hata baada ya miaka 30 ambapo mchina atakuwa kashavuta chake.

Other way round mchina anaweza kuja kuijenga na makaratasi yakasainiwa kumbe mmiliki wa barabara ni dogo Dullah. So wanafanikisha deal hilo tu nyie mnajua ubia ni wa wachina kumbe sinema imechezwa kama ya DP World tu. Kafulila anakula chake billion kadhaa kwa Promotion aliofanya.
 
PPP is not a new concept…. Nk very old concept

Na hata huko rushwa zipo tu… tena mbaya zaidi kutoka na na inflation ya figures z investment na maafisa wa umma kukinga mikono kupokea bakshishi na shares z vificho

Tusijitoe fahamu na kudhani we are having something new
If it was a good thing kingefanywa na Magufuli mapema tu. Alikuwa na uwezo wa kutumia hizo PPP kama zingekuwa na faida kwetu. Hapo nachokiona ni kiini macho tu, kuna mtu anatafuta namna ya kujipigia hela za walalahoi nchini kwa camouflage ya kuweka sura za wachina mbele.

Kwa ufisadi uliofanywa ndani ya miaka mitatu hii kuna viongozi hawakosi trillion dollars za ku fund hio PPP kisha wakaanza kula Tolls za hio barabara milele daima. Nyie mnadanganywa ni PPP wao wanaweka dirisha la makusanyo kama Kigamboni bridge wanakusanya maokoto tu.
 
Kama PPP haina ulaji haiwezi kupendwa
Inakosaje ulaji, nikupe mfano tu wa PPP ni kama Kigamboni bridge. Ile ni PPP baina ya serikali na Shirika lake la NSSF. Je, wewe unajua mpaka sasa daraja lile limekusanya bei gani?

Au kwa mwaka linaingiza shillingi ngapi kupitia Tozo za kuvuka pale. Hata hela ya kujenga itakaporudishwa yote NSSF hutakaa usikie tozo zimeondolewa pale kwa kisingizio cha maintanance japo serikali ndio inawajibika kufanya maitanance.

Ilipaswa baada ya muda flani tozo ziondolewe watu wapite free sababu ile ni public asset inayotakiwa kutoa huduma freely kama ilivyo tu Tanzanite bridge ila kuna kikundi cha watu kitakuwa kinakula % pale darajani ndio maana hapataacha kukusanywa mapato.
 
PPP is not a new concept…. Nk very old concept

Na hata huko rushwa zipo tu… tena mbaya zaidi kutoka na na inflation ya figures z investment na maafisa wa umma kukinga mikono kupokea bakshishi na shares z vificho

Tusijitoe fahamu na kudhani we are having something new
Exactly, no old wine kwenye chupa mpya
 
If it was a good thing kingefanywa na Magufuli mapema tu. Alikuwa na uwezo wa kutumia hizo PPP kama zingekuwa na faida kwetu. Hapo nachokiona ni kiini macho tu, kuna mtu anatafuta namna ya kujipigia hela za walalahoi nchini kwa camouflage ya kuweka sura za wachina mbele.

Kwa ufisadi uliofanywa ndani ya miaka mitatu hii kuna viongozi hawakosi trillion dollars za ku fund hio PPP kisha wakaanza kula Tolls za hio barabara milele daima. Nyie mnadanganywa ni PPP wao wanaweka dirisha la makusanyo kama Kigamboni bridge wanakusanya maokoto tu.
Asingeruhusu kirahisi kwani madalali ndio wangebenefit zaidi
 
Ishu sio PPP, ishu ni standards. Je, ubora unaotakiwa ndio huo watakaojenga ama? Maana wachina wanakuwa na options kulingana na wewe utakavyo, wanaweza wakajenga sub standard ili wewe upate ganji yako as long as wamekula share yao halali.

Kwa nchi ambayo iko so corrupt kama yetu ni vigumu kuniaminisha kuwa hio PPP haitakuwa na element za janja janja na rushwa. Watu waliopo serikalini wengi wanatajirikia kwenye miradi kupitia hongo za 10% za fedha za miradi na overstating ya gharama ya ujenzi.
Nahisi huifahamu vizuri PPP,

Mtu anayekuja kujenga mradi wa PPP Serikali haiweki pesa yoyote,

Pili, Kama Mchina atajenga barabara zake kwa kiwango kibovu basi hasara atapata yeye,

Ubia maana yake ni kuitekeleza miradi yenye manufaa kwa Umma kwa pesa za wabia,

Serikali haitumii Senti yake ila inatoka eneo la miradi kwa Ubia,

Baadae terms za mradi zitakuwa setted,

Hakuna rushwa Kwakuwa anayekeleza mradi ndio mwenye mradi
 
Inakosaje ulaji, nikupe mfano tu wa PPP ni kama Kigamboni bridge. Ile ni PPP baina ya serikali na Shirika lake la NSSF. Je, wewe unajua mpaka sasa daraja lile limekusanya bei gani?

Au kwa mwaka linaingiza shillingi ngapi kupitia Tozo za kuvuka pale. Hata hela ya kujenga itakaporudishwa yote NSSF hutakaa usikie tozo zimeondolewa pale kwa kisingizio cha maintanance japo serikali ndio inawajibika kufanya maitanance.

Ilipaswa baada ya muda flani tozo ziondolewe watu wapite free sababu ile ni public asset inayotakiwa kutoa huduma freely kama ilivyo tu Tanzanite bridge ila kuna kikundi cha watu kitakuwa kinakula % pale darajani ndio maana hapataacha kukusanywa mapato.
Hiyo sio PPP 100% ndio maana unaona hayo,

PPP 100% Fedha ya Mradi si ya Mbia ,

Polepole mtaelewa tu
 
If it was a good thing kingefanywa na Magufuli mapema tu. Alikuwa na uwezo wa kutumia hizo PPP kama zingekuwa na faida kwetu. Hapo nachokiona ni kiini macho tu, kuna mtu anatafuta namna ya kujipigia hela za walalahoi nchini kwa camouflage ya kuweka sura za wachina mbele.

Kwa ufisadi uliofanywa ndani ya miaka mitatu hii kuna viongozi hawakosi trillion dollars za ku fund hio PPP kisha wakaanza kula Tolls za hio barabara milele daima. Nyie mnadanganywa ni PPP wao wanaweka dirisha la makusanyo kama Kigamboni bridge wanakusanya maokoto tu.
Njoo inbox nikufunde
 
Back
Top Bottom