Je, dunia inahama kutoka kutumia TAKUKURU kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye miradi ya Serikali mpaka kuitumia PPP, is this also a New World Order?

Je, dunia inahama kutoka kutumia TAKUKURU kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye miradi ya Serikali mpaka kuitumia PPP, is this also a New World Order?

Dunia iko Kasi sana.


Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.

Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.

Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,

Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,

Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.

Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.

Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.


My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.


Take Five🤛🏿

Haya ma thread ambayo Kafulila na wapambe wake wanayajaza humu yatakuja kumgharimu.

Kafulila alikuwa amefutika kwenye ramani. Kuna wazee wamemuombea kazi kwa Samia ndipo akateuliwa kuwa Kamishna wa PPP.

Lakini sasa Kafulila amekuwa KERO ametafuta wapambe na anawalipa kwa ajili ya kujionyesha kuwa eti ana akili nyingi.

Kafulila huna kitu, wewe ni wa kawaida saana. Acha tamaa, fanya kazi uliyopewa na ridhika na mshahara. Wanaokudanganya kuwa utarudi Bungeni hwakwambii UKWELI. Bungeni hurudi na ukithubutu kuchukua forms na ukashindwa ujuwe na PPP itakuwa imepotea
 
Dunia iko Kasi sana.


Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.

Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.

Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,

Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,

Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.

Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.

Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.


My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.


Take Five🤛🏿

Kwenye hili nampa Rais Samia mia mia👏👏👏
 
Haya ma thread ambayo Kafulila na wapambe wake wanayajaza humu yatakuja kumgharimu.

Kafulila alikuwa amefutika kwenye ramani. Kuna wazee wamemuombea kazi kwa Samia ndipo akateuliwa kuwa Kamishna wa PPP.

Lakini sasa Kafulila amekuwa KERO ametafuta wapambe na anawalipa kwa ajili ya kujionyesha kuwa eti ana akili nyingi.

Kafulila huna kitu, wewe ni wa kawaida saana. Acha tamaa, fanya kazi uliyopewa na ridhika na mshahara. Wanaokudanganya kuwa utarudi Bungeni hwakwambii UKWELI. Bungeni hurudi na ukithubutu kuchukua forms na ukashindwa ujuwe na PPP itakuwa imepotea
Kwani huyu Kafulila anatekeleza sera za nani kama sio huyu aliyemteua?
Kafulila Mimi naona anajitahidi sana kuifanya PPP kuwa machine ya kuzalisha Ajira na liquidity kwa Taifa
 
Watu wanaopenda kuandika mambo ya new world order wana changamoto ya afya ya akili kama wale wasabato masalia walio taka kwenda kuhubiri injili Iraq wakati hawana tiketi ya ndege wakaishia uwanja wa ndege.
 
Watu wanaopenda kuandika mambo ya new world order wana changamoto ya afya ya akili kama wale wasabato masalia walio taka kwenda kuhubiri injili Iraq wakati hawana tiketi ya ndege wakaishia uwanja wa ndege.
Kwani New World Order ni Nini?
 
Haya ma thread ambayo Kafulila na wapambe wake wanayajaza humu yatakuja kumgharimu.

Kafulila alikuwa amefutika kwenye ramani. Kuna wazee wamemuombea kazi kwa Samia ndipo akateuliwa kuwa Kamishna wa PPP.

Lakini sasa Kafulila amekuwa KERO ametafuta wapambe na anawalipa kwa ajili ya kujionyesha kuwa eti ana akili nyingi.

Kafulila huna kitu, wewe ni wa kawaida saana. Acha tamaa, fanya kazi uliyopewa na ridhika na mshahara. Wanaokudanganya kuwa utarudi Bungeni hwakwambii UKWELI. Bungeni hurudi na ukithubutu kuchukua forms na ukashindwa ujuwe na PPP itakuwa imepotea
Nadhani kazi za Kafulila kila Mtanzania anaziona sijui kwanini uandike vtisho utadhani Kuna kitu kibaya kinafanywa na Kafulila,

Sidhani kama kuitangaza PPP kwenye media ni kosa kwa Mwajiri ninachoamini Kafulila kama tungekuwa serious angepashwa kujengewa mnara pale Posta.
 
Dunia iko Kasi sana.


Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.

Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.

Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,

Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,

Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.

Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.

Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.


My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.


Take Five🤛🏿

Mimi kitu chochote ambacho kitaondoa upigaji kwa wachache Niko tayari kuunga mkono
 
Nadhani kazi za Kafulila kila Mtanzania anaziona sijui kwanini uandike vtisho utadhani Kuna kitu kibaya kinafanywa na Kafulila,

Sidhani kama kuitangaza PPP kwenye media ni kosa kwa Mwajiri ninachoamini Kafulila kama tungekuwa serious angepashwa kujengewa mnara pale Posta.
Kazi gani za Kafulila alizofanya ambazo mtu mwingine hawezi kufanya?

Hivi unajuwa kuwa Kamishna wa PPP siyo Afisa Masuuri? Yaani mwenye maamuzi na kutoa direction ni Katibu Mkuu -Hazina.

Kafulila ni kidampa tu wala msiwapotoshe wasiojuwa mfumo wa wizara ya fedha
 
Kazi gani za Kafulila alizofanya ambazo mtu mwingine hawezi kufanya?

Hivi unajuwa kuwa Kamishna wa PPP siyo Afisa Masuuri? Yaani mwenye maamuzi na kutoa direction ni Katibu Mkuu -Hazina.

Kafulila ni kidampa tu wala msiwapotoshe wasiojuwa mfumo wa wizara ya fedha
Sasa mambo ya Masurufu yanaingiaje hapa?
 
Kazi gani za Kafulila alizofanya ambazo mtu mwingine hawezi kufanya?

Hivi unajuwa kuwa Kamishna wa PPP siyo Afisa Masuuri? Yaani mwenye maamuzi na kutoa direction ni Katibu Mkuu -Hazina.

Kafulila ni kidampa tu wala msiwapotoshe wasiojuwa mfumo wa wizara ya fedha
Kafulila sio Kamishna wa PPP kwasasa ambayo ni Idara ndani ya wizara ya Fedha. Ni Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia Tanzania( PPP CENTRE) ambacho ni mamlaka kama zilivyo TCRA, TIC, EPZA nk hivyo ni mamlaka Kamili,

Mkurugenzi Mtendaji nijuavyo Mimi ni Accounting officer
 
PPT yenyewe, kupatikana kwa wawekezaji hao, rushwa inatumika! Sema PPT inapunguza mianya ya upigaji siyo kuondoa kabisa!
 
Kafulila sio Kamishna wa PPP kwasasa ambayo ni Idara ndani ya wizara ya Fedha. Ni Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia Tanzania( PPP CENTRE) ambacho ni mamlaka kama zilivyo TCRA, TIC, EPZA nk hivyo ni mamlaka Kamili,

Mkurugenzi Mtendaji nijuavyo Mimi ni Accounting officer
Kafulila Kuna kitu Kafanya Pale PPP tukubali tukatae maana nyie CHADEMA kila kitu mnapinga tu
 
Dunia iko Kasi sana.


Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.

Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.

Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,

Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,

Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.

Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.

Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.


My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.


Take Five🤛🏿

Nahitaji kuifahamu vizuri zaidi hii PPP,mleta mada njooo kwanza na mada ya kuifafanua PPP
 
Dunia iko Kasi sana.


Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.

Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.

Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,

Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,

Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.

Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.

Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.


My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.


Take Five🤛🏿

Hata wakulima waijuie PPP
 
Back
Top Bottom