Je, Elon Musk atakuwa Rais wa 48 USA baada Trump kumaliza muhula wake?

Je, Elon Musk atakuwa Rais wa 48 USA baada Trump kumaliza muhula wake?

Nikola24

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2024
Posts
222
Reaction score
517
Elon Musk, mtu tajiri zaidi duniàni siku za hivi karibuni amekuwa akifanya kazi pamoja na Rais Trump. Ukaribu wao unawatia watu wasiwasi hivyi kwamba baadhi ya wataalamu wanadai Serikali ya america inaongozwa na Elon Musk badala Trump.

Hilo halina shaka Elon musk anashauriana na Trump kuhusu maamuzi ya serikali.

Je Kuna uwezekano Elon Musk kuwa president ajae USA?

Kumbuka Elon Musk ni mzaliwa wa Afrika Kusini ila amenunua uraia wa Marekani.
 
Elon musk,mtu tajiri zaidi duniàni siku za hivi karibuni amekuwa akifanya kazi pamoja na raisi Trump. Ukaribu wao unawatia watu wasiwas hivyi kwamba baadhi ya wataalamu wanadai serikali ya america inaongozwa na Elon Musk badala Trump.

Hilo halina shaka Elon musk anashauriana na Trump kuhusu maamuzi ya serikali.

Je Kuna uwezekano Elon Musk kuwa president ajae USA?
Kumbuka Elon musk ni mzaliwa wa afrika kusini ,ila amenunua uraia wa Marekani.
Sidhani, kwanza kabla miaka 3 kuisha watakuwa washatibuana.
Elon ni opportunist, kama kitu hakimnufaishi anapiga sana kelele ndiyo maana uliona tu ule mpango wa kuwekeza 500 billion dollars kwenye data center alikuwa anaukandia kwa sababu tu yupo Sam Altman.
Hapo hapo anaishitaki Open AI akipinga kuwa profit organization, sasa kajichanganya juzi katangaza offer ya kuinunua na wamefile barua aliyowatumia ya offer mahakamani wakidai hoja zake zinaji contradict. Anawashitaki kwa kutaka kuwa for profit, hapo hapo anataka kuinunua ili naye aigeuze ya faida.
Conflict of interest, wakati akipita kila mahali kupunguza budget na mikataba mingine kufutwa, tesla imeuza magarii kwa serikali kwa deal lenye thamani ya milioni 400 dollars.
Naona anaingia na NASA kumbuka NASA hao hao wana deal na space x, wana deal na blue origin na makampuni mengine, sasa itakuwaje. Nachoona ni sawa na tanzania unayegombea naye ndiye mwenye uwezo wa kutangaza mshindi.
Kwa tamaa za Elon Musk lazima at some point watatibuana na Trump.
 
Sidhani, kwanza kabla miaka 3 kuisha watakuwa washatibuana.
Elon ni opportunist, kama kitu hakimnufaishi anapiga sana kelele ndiyo maana uliona tu ule mpango wa kuwekeza 500 billion dollars kwenye data center alikuwa anaukandia kwa sababu tu yupo Sam Altman.
Hapo hapo anaishitaki Open AI akipinga kuwa profit organization, sasa kajichanganya juzi katangaza offer ya kuinunua na wamefile barua aliyowatumia ya offer mahakamani wakidai hoja zake zinaji contradict. Anawashitaki kwa kutaka kuwa for profit, hapo hapo anataka kuinunua ili naye aigeuze ya faida.
Conflict of interest, wakati akipita kila mahali kupunguza budget na mikataba mingine kufutwa, tesla imeuza magarii kwa serikali kwa deal lenye thamani ya milioni 400 dollars.
Naona anaingia na NASA kumbuka NASA hao hao wana deal na space x, wana deal na blue origin na makampuni mengine, sasa itakuwaje. Nachoona ni sawa na tanzania unayegombea naye ndiye mwenye uwezo wa kutangaza mshindi.
Kwa tamaa za Elon Musk lazima at some point watatibuana na Trump.
Hoja yako Iko smart sana. Umetabiri kwa ubunifu nakubaliana nawe.

Pia tukumbuke mafahari wawili hawakai zizi moja (Elon & trump)
 
Katiba ya Marekani inasema lazima mgombea awe amezaliwa Marekani lakini Musk anaweza kupindua hilo kwa kubadilisha katiba.

SI unajua nguvu ya hela
Hela ina mipaka Marekani, hiyo nchi ina q1zaidi ya miaka 200 na katika miaka yote hiyo vipengele vya katiba havijawahi badilishwa zaidi ya mara
 
Hela ina mipaka Marekani, hiyo nchi ina q1zaidi ya miaka 200 na katika miaka yote hiyo vipengele vya katiba havijawahi badilishwa zaidi ya mara
Shukrani kwa reply yako!
Kwa kweli pesa haiwezi Kila kitu Duniani.
 
Elon Musk, mtu tajiri zaidi duniàni siku za hivi karibuni amekuwa akifanya kazi pamoja na Rais Trump. Ukaribu wao unawatia watu wasiwasi hivyi kwamba baadhi ya wataalamu wanadai Serikali ya america inaongozwa na Elon Musk badala Trump.

Hilo halina shaka Elon musk anashauriana na Trump kuhusu maamuzi ya serikali.

Je Kuna uwezekano Elon Musk kuwa president ajae USA?

Kumbuka Elon Musk ni mzaliwa wa Afrika Kusini ila amenunua uraia wa Marekani.
Hawez kuwa rais wa marekan kwasababu hajazaliwa Marekani sheria zao zinakataa
 
Sidhani, kwanza kabla miaka 3 kuisha watakuwa washatibuana.
Elon ni opportunist, kama kitu hakimnufaishi anapiga sana kelele ndiyo maana uliona tu ule mpango wa kuwekeza 500 billion dollars kwenye data center alikuwa anaukandia kwa sababu tu yupo Sam Altman.
Hapo hapo anaishitaki Open AI akipinga kuwa profit organization, sasa kajichanganya juzi katangaza offer ya kuinunua na wamefile barua aliyowatumia ya offer mahakamani wakidai hoja zake zinaji contradict. Anawashitaki kwa kutaka kuwa for profit, hapo hapo anataka kuinunua ili naye aigeuze ya faida.
Conflict of interest, wakati akipita kila mahali kupunguza budget na mikataba mingine kufutwa, tesla imeuza magarii kwa serikali kwa deal lenye thamani ya milioni 400 dollars.
Naona anaingia na NASA kumbuka NASA hao hao wana deal na space x, wana deal na blue origin na makampuni mengine, sasa itakuwaje. Nachoona ni sawa na tanzania unayegombea naye ndiye mwenye uwezo wa kutangaza mshindi.
Kwa tamaa za Elon Musk lazima at some point watatibuana na Trump.
Maskini Bwana Wanavyo waombea Watu Mabaya Roho Mbaya Tuu Ndio Ina Inawakolokocha, Africa Pumbavu Sanaaa
 
Maskini Bwana Wanavyo waombea Watu Mabaya Roho Mbaya Tuu Ndio Ina Inawakolokocha, Africa Pumbavu Sanaaa
Bila shaka unapenda Trump na Musk waendelee kuwa pamoja kikazi.
But maoni ya jamaa yanaweza kutokea siku zijazo.

Mafahari wawili hawakai zizi moja!
 
Bila shaka unapenda Trump na Musk waendelee kuwa pamoja kikazi.
But maoni ya jamaa yanaweza kutokea siku zijazo.

Mafahari wawili hawakai zizi moja!
Mtoto wa elon musk..ndio atakuwa Rais alafu anafata mtoto wa tramp
 
Katiba ya Marekani inasema lazima mgombea awe amezaliwa Marekani lakini Musk anaweza kupindua hilo kwa kubadilisha katiba.

SI unajua nguvu ya hela
Not kwa mifumo ya US, when it comes to president candidate hao jamaa wako serious sana. Mifumo yao ya uteuzi si mepesi kama ya bongo
 
Not kwa mifumo ya US, when it comes to president candidate hao jamaa wako serious sana. Mifumo yao ya uteuzi si mepesi kama ya bongo
Yeah , ahsante kwa kunijulisha.
Kila serikali ina mifumo yake ya uchaguzi.
Some system are greater than others.

ILa je mtu binafsi anaruhusiwa kugombea USA?
 
Yeah , ahsante kwa kunijulisha.
Kila serikali ina mifumo yake ya uchaguzi.
Some system are greater than others.

ILa je mtu binafsi anaruhusiwa kugombea USA?
Inaruhusiwa, but lazima afir vigezo vya uraia, state by state requirement. Yaani states zote za americq zi approve kwamba ana qualify
 
Inaruhusiwa, but lazima afir vigezo vya uraia, state by state requirement. Yaani states zote za americq zi approve kwamba ana qualify
Vizuri! Yaani Marekani hawaangalii chama Cha siasa ,wana deal na quality ya mtu.
 
Back
Top Bottom