nivocatuce
New Member
- Jun 27, 2014
- 1
- 0
ujuzi ndio kila kitu sio theory.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Form 4 bado sana kijana!! Ila kuna huu msemo, "An Engineer can be anybody, and not anybody can be an Engineer". Kwa hiyo kama PCM inapanda wewe piga shule uko penyewe. Kuhusu ajira, Engineers wanahitajika kila kona ya dunia hii! Tanzania hadi sasa hawatoshi, mi nilipomaliza undergraduate, nilikaa miezi 2 bila kazi, baada ya hapo nikawa nachagua niende wapi niache wapi!! Kifupi kazi ziko nyingi, na haziishi leo wala hivi karibuni kwani duniani kote, wahandisi wahatoshi.
Utakapoona engineers wanakosa kazi, basi ujue tutaanza kupiga hatua mbele kubwa kwani watalazimika kuanza kuwa wabunifu zaidi na kujikuta nchi inatengeneza bidhaa nyingi za ndani badala ya kuimport kutoka china au nchi zingine.