Je, engineering ina soko kwa Tanzania?

Mungu aliumba dunia ila engineers walipewa uwezo wa kuimodify... Soma tu engineering.. ila kama ndo unawaza mambo ya ajira soma afya... Competition ya ajira ipo ila ukipata.. watakuonea mbali sana... Pia it's interesting sanaaa.. utafurahi mwenyw.. una design ki2 na kinafanya kazi c hw interesting it is
 

man umepiga bsc ipi? mwaka upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…