Je, Erick Kabendera hajaiba thread zetu humu JF kushibisha kitabu chake kimhusucho Magufuli?

Je, Erick Kabendera hajaiba thread zetu humu JF kushibisha kitabu chake kimhusucho Magufuli?

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Yeah!
Nadhani tunakumbuka jinsi bwana Yericko Nyerere alivyotuhumiwa kuiba nyuzi za wana JF kuandika vitabu vyake anavyoviita vya kijasusi hata akawapiga watu pesa Kwa kuwauzi vile vitabu.

Sasa hivi kijana wetu Erick Kabendera amekuja na kitabu chake ambacho kwa kiasi fulani kimemgusia ankomagu. Swali ni kwamba huyu Kabendera kweli hajaja humu jukwaani kukopi na kupesti mistari tukuka kutoka kwenye nyuzi mbalimbali Kwa mfano uzi wa Kiranga, Pascal Mayalla, Mshana Jr, Robert Heriel Mtibeli, BICHWA KOMWE -, BRAZA CHOGO, Ibn Unuq, Monetary doctor na nyuzi zinginezo za wana JF?

Yawezekana tulimkamata Yericko Nyerere Nyerere Kwa sababu alitumia kiswahili.

secretarybird nimeshamwajiri mkenya apitie kile kitabu na kunitafsiria Kwa kiswahili ili nijue kama jamaa kaiba uzi wangu ama la.
 
Yeah!
Nadhani tunakumbuka jinsi bwana Yericko Nyerere alivyotuhumiwa kuiba nyuzi za wana JF kuandika vitabu vyake anavyoviita vya kijasusi hata akawapiga watu pesa Kwa kuwauzi vile vitabu.

Sasa hivi kijana wetu Erick Kabendera amekuja na kitabu chake ambacho kwa kiasi fulani kimemgusia ankomagu. Swali ni kwamba huyu Kabendera kweli hajaja humu jukwaani kukopi na kupesti mistari tukuka kutoka kwenye nyuzi mbalimbali Kwa mfano uzi wa Kiranga, Pascal Mayalla, Mshana Jr, Robert Heriel Mtibeli, BICHWA KOMWE -, BRAZA CHOGO, Ibn Unuq, Monetary doctor na nyuzi zinginezo za wana JF?

Yawezekana tulimkamata Yericko Nyerere Nyerere Kwa sababu alitumia kiswahili.

secretarybird nimeshamwajiri mkenya apitie kile kitabu na kunitafsiria Kwa kiswahili ili nijue kama jamaa kaiba uzi wangu ama la.
Hii Kali!
 
Yeah!
Nadhani tunakumbuka jinsi bwana Yericko Nyerere alivyotuhumiwa kuiba nyuzi za wana JF kuandika vitabu vyake anavyoviita vya kijasusi hata akawapiga watu pesa Kwa kuwauzi vile vitabu.

Sasa hivi kijana wetu Erick Kabendera amekuja na kitabu chake ambacho kwa kiasi fulani kimemgusia ankomagu. Swali ni kwamba huyu Kabendera kweli hajaja humu jukwaani kukopi na kupesti mistari tukuka kutoka kwenye nyuzi mbalimbali Kwa mfano uzi wa Kiranga, Pascal Mayalla, Mshana Jr, Robert Heriel Mtibeli, BICHWA KOMWE -, BRAZA CHOGO, Ibn Unuq, Monetary doctor na nyuzi zinginezo za wana JF?

Yawezekana tulimkamata Yericko Nyerere Nyerere Kwa sababu alitumia kiswahili.

secretarybird nimeshamwajiri mkenya apitie kile kitabu na kunitafsiria Kwa kiswahili ili nijue kama jamaa kaiba uzi wangu ama la.
secretarybird nimeshamwajiri mkenya apitie kile kitabu na kunitafsiria Kwa kiswahili ili nijue kama jamaa kaiba uzi wangu ama la.😀😀😀
 
Yeah!
Nadhani tunakumbuka jinsi bwana Yericko Nyerere alivyotuhumiwa kuiba nyuzi za wana JF kuandika vitabu vyake anavyoviita vya kijasusi hata akawapiga watu pesa Kwa kuwauzi vile vitabu.

Sasa hivi kijana wetu Erick Kabendera amekuja na kitabu chake ambacho kwa kiasi fulani kimemgusia ankomagu. Swali ni kwamba huyu Kabendera kweli hajaja humu jukwaani kukopi na kupesti mistari tukuka kutoka kwenye nyuzi mbalimbali Kwa mfano uzi wa Kiranga, Pascal Mayalla, Mshana Jr, Robert Heriel Mtibeli, BICHWA KOMWE -, BRAZA CHOGO, Ibn Unuq, Monetary doctor na nyuzi zinginezo za wana JF?

Yawezekana tulimkamata Yericko Nyerere Nyerere Kwa sababu alitumia kiswahili.

secretarybird nimeshamwajiri mkenya apitie kile kitabu na kunitafsiria Kwa kiswahili ili nijue kama jamaa kaiba uzi wangu ama la.
Kabendera kaandikia The Guardian na The Economist mkuu.

Usimfananishe na Yericko Nyerere anayeiba mpaka jina.

Don't do that.
 
Humu Kuna Vibaka kibao wanaiba nyuzi za watu wanajinufaisha wao!

Kuna kibaka anajiita FORTUNATUS BUYOBE huyu yeye amechukua simulizi zangu anazitumia yeye huko kwenye Telegram yake na kuwalipisha pesa!

Humu Kuna Vibaka kibwena mkuu!

Huyo kibaka siku nitakapomtia mikononi mwangu pesa zote alizokusanya kupitia simulizi zangu atazitapika!

Mfikishieni huu ujumbe!
 
hata pascal huenda ana id nyingine tofauti na inayojulikana. Watu wana id zaidi ya moja ku take camouflage
Kabisa mkuu hawa akina mchana, paskali, anjela nailoni kiranja na lukasi wote wana aidii zaidi ya moja ambapo mtu hutumia aidii moja kujifanya mtu wa busara lakini aidii nyingine Kwa ajili ya kutukania watu na kuporomosha matusi yasiyomithilika jukwaani.

Hivyo yaani!
 
Kabisa mkuu hawa akina mchana, paskali, anjela nailoni kiranja na lukasi wote wana aidii zaidi ya moja ambapo mtu hutumia aidii moja kujifanya mtu wa busara lakini aidii nyingine Kwa ajili ya kutukania watu na kuporomosha matusi yasiyomithilika jukwaani.

Hivyo yaani!
hata yule kigogo wa wizara mwenye verified ID atakuwa na id nyingine machachari ya kujibu vikali hata kutukania akishindwa kujibu hoja kistarabu.
 
Back
Top Bottom