Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Dah masikini mrembo wetu tutasikitika sana. Ni matumaini yetu atarudi this month, ngoja tusubiri maana leo ndiyo kifungo kinaisha pengine hivi tunaongea tayari yupo uraianiWachina sio watu,
Usishangae kuambiwa kafia jela miaka 2 ilopita.
Kumbe wamemdedisha kusudi
Yan nimeuzunika alafu nikacheka mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]Kama kafungwa China basi washamtafuna mishikaki, maana wale jamaa kama wanakula nyoka, watashindwa kuweka chachandu mrembo kama yule kweli?
akirudi uraiani ashakua bibi hana jipya tenaArudi kwa kweli yale mashauzi yake ya nguo hadi sasa hana mpinzani.
Itapendeza akiendeleza game.
Hapana.akirudi uraiani ashakua bibi hana jipya tena
Wee nawe!Tamaa mbaya. Sijui Louis Vuitton,Christian Louboutin,Christian Dior,Gucci et al.Maana zaidi kuvaa hakuna la maana alilopata kwa kuwa punda.
Kama atatoka jela hope atakuwa kujifunza.
duuuh hapo mamsera ndio anapotoka mama angu aiseeee.......kaka yake maarufu sana pale stendi ana duka la jumla na rejarejaHapana.
Akirudi atakuwa kwenye early 30's.
Nani alikuambia miaka hiyo kazeeka?
Labda kwa miaka hiyo uwe unaishi mamsera unakata migomba.
Lakini kwa mjini hapa bado sana.
Yes kwa Mademu hadi 42 bado kigori anapelekewa moto.Hapana.
Akirudi atakuwa kwenye early 30's.
Nani alikuambia miaka hiyo kazeeka?
Labda kwa miaka hiyo uwe unaishi mamsera unakata migomba.
Lakini kwa mjini hapa bado sana.
Wachina sio watu,
Usishangae kuambiwa kafia jela miaka 2 ilopita.
Kumbe wamemdedisha kusudi
Muangalie madam Ritta.Yes kwa Mademu hadi 42 bado kigori anapelekewa moto.
Akija Sasa atakuta trend imebadilika watu siku hizi sio punda Tena Ni wanadangalingTamaa mbaya. Sijui Louis Vuitton,Christian Louboutin,Christian Dior,Gucci et al.Maana zaidi kuvaa hakuna la maana alilopata kwa kuwa punda.
Kama atatoka jela hope atakuwa kujifunza.
Ni kweli Mwanamke matunzo tu,ukimtunza vizuri hachuji anakua MRITO muda wote!!Muangalie madam Ritta.
Nimekutana nae mara mbili viwanja.
Moto na yupo na vijana wa makamo tu.
Ni kujitunza na ukiwa na vijisent ndo kabisa bado unawika.
Yaani bora hata agedanga kina mapedejee,kuliko kuwa punda.Akija Sasa atakuta trend imebadilika watu siku hizi sio punda Tena Ni wanadangaling
Yes kudanga ndio trend ya mjini saivi
Ila Toto lilikuwa zuri nyie refu Lina mwili mzuri jeupe duuh
Sent using Jamii Forums mobile app
alishatoka na kurejea TZ na natumai ana mchumba kwa sasaHivi binti kiziwi alifungwa muda gani vile?
Let's meet at the top, cheers [emoji1635]