Ishu hiyo biashara ya low risk na low supervisionKwa mwaka utapata 3,600,000 so kwa mwezi sawa na laki 3, hii ni hasara kubwa sana.
Kama wewe huna muda wa kuisimamia hiyo pesa ikate nusu, weka 30 M bank, nyingine fanya biashara yenye risk ndogo na low supervision.
KweliIshu hiyo biashara ya low risk na low supervision
Ishu hiyo biashara ya low risk na low supervision
Hii bonge la akili....ebu nipe konnection ya kiwanjaUnalenga kiwanja cha milion 10 ama 15 uswahilini mjini mjini kama ubungo, tabata ama yombo vituka. Uswazi watu wana njaa wanakukatia kiwanja ukiwa na cash.. sio kikubwaa kidogo tu chini ya sqm 200.
Kisha unajenga rum master tu kama 7. Kwa milioni isiyozidi 30.
Kodi kwa mwezi unakunja zaidi ya laki 7.
Hapo umewekeza milioni 45. Makadirio ya juu
Ishu hiyo biashara ya low risk na low supervision
Ruvu uko 120k,Biashara zipo mkuu ,mfano mwaka huu mwezi wa 6 nimeshuhudia huko ifakara mpunga wa shambani umetoma kwa laki moja kwa gunia, nilikuwa kwenye project pale tulimaliza project mwezi wa huu wa nane mwanzoni gunia la mpunga likiwa limefikia 130k, sasa kama kuna mtu alinunua mpunga kwa laki moja mwezi wa 6, kama alinunua gunia 100, inamaan katengeneza 3000000 kwa miezi miwili tu., na
Sio kila mwezi bali ni annually yaan hiyo asilimia kumi ni kwa mwaka. Hapo maana yake ni kuwa atapata 6,000,000/= ambayo ukiigawa kwa miezi 12 utapata 500,000/= (laki tano) kwa mweziNdugu yangu hakuna income ya kijinga kama hiyo, utakapoweka bank itapata faida ya zaidi ya 600M ww utaondoka na 10% tu kila mwezi
Hiyo ni interest mzee , Ni riba , Ni haramuWanajamvi habari,nilikuwa nataka kuweka pesa yangu kiasi cha shilingi milion60 kwenye fixed account nmb,kwa miaka miwili, je nitapata faida kiasi gani kila mwezi, kwa wazoefu naomba mnisaidie
Kuna jamaa yangu kanunua nyumba Tandika uswahilini Kwa milioni 20 akairekebisha Safi, Sasa hivi anakula Kodi tu... Kwa wanaoijua Tandika Sasa hivi jamaa kaokota dodo miaka mitano mbele anauza milioni 70 Kama sio mia.Hii bonge la akili....ebu nipe konnection ya kiwanja
Ok sema nimeona so mbaya kwa sababu pesa bila nidhamu ni sawa na makaratasiMleta mada fuata miongozo...
Asante ,ujue watu wanaweza kukuona mjinga ukifanya hivi lkn wenye macho ya mbali wanaelewa,Kaweke Utt , utapata faida kuanzia asilimia 14 mpk 15 kwa mwaka. Kila mwezi utaingiziwa gawio la 600,000/=
Mambo ya kuokota dodo ndg ni kw mtu yoyote,so kwa kila mtu,unaweza Jenga kwa bei ndogo na ukauza kw bei ndogo zaidi, lazima uwe na jicho la mbali.kuna jamaa yangu kanunua nyumba tandika uswahilini Kwa milioni 20 akairekebisha Safi ,Sasa hivi anakula Kodi tu...kwa wanaoijua tandika Sasa hivi jamaa kaokota dodo miaka mitano mbele anauza milioni 70 Kama sio mia
Hakika sitaki kupima kina Cha maji kwa miguu yote miwiliNdugu tuliza akili kila mtu atakuja na lake. Za kuambiwa changanya na zako. Hakuna tatizo kama kuwa na pesa afu ndo unatafuta cha kufanyia.
Wengi wanaofanikiwa kwenye biashara ni wale wanaokuwa na idea then ndo wanaitafutia pesa. Ndo maana wanaenda kukopa. Kila idea utakayopewa huku utaiona nzuri. Mwisho wa siku utajikuta zinapotea kidogokidogo