Sijakuambia kwakua nataka kujenga NOO!! Nataka u-justify kama 4M inajenga chumba master 😅😅😅
Chumba master why isijenge.. chumba kimoja na choo chake tu why 4m isijenge?
Tofali chumba kimoja master hazizidi hata 500, madirisha ni moja ama mawili. Plus vinginevyo why 4m isitoshe?