Je, faida kiasi gani nitapata kila mwezi?

Sijakuambia kwakua nataka kujenga NOO!! Nataka u-justify kama 4M inajenga chumba master πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Chumba master why isijenge.. chumba kimoja na choo chake tu why 4m isijenge?

Tofali chumba kimoja master hazizidi hata 500, madirisha ni moja ama mawili. Plus vinginevyo why 4m isitoshe?
 
Quran2:275 Wale walao riba hawasimami ila kama anavyo simama aliye zugwa na Shet'ani kwa kumgusa. Hayo ni kwa kuwa wamesema: Biashara ni kama riba. Lakini Mwenyezi Mungu ameihalalisha biashara na ameiharimisha riba. Basi aliye fikiwa na mawaidha kutoka kwa Mola wake Mlezi, kisha akajizuia, basi yake ni yaliyo kwisha pita, na mambo yake yako kwa Mwenyezi Mungu. Na wenye kurudia basi hao ndio watu wa Motoni, humo watadumu
 

Mchele unazidi kupanda Bei na Hamna namna utaporomoka
 
Mkuu nipe connection ya hicho cha sqm 1200 Gezaulole kwa 10 kama bado kipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…