itabidi hata polisi akila rushwa akiwa kwenye uniform, selikali ndio iwajibike kwasababu alikuwa anafanya kazi akiwa kwenye uniform za serikali? ndio tuseme hivyo?, ....inawezekana kabisa selikali ikawa responsible for the wrongs of its servants...lakini wale servants wanatakiwa wawe walikuwa wanafanya shughuli walizotumwa na mkubwa wao. superior anaweza kuwa responsible for the wrongs of the subordinate only where he commanded it be done, au labda tuseme yale mambo aliyoyafanya polisi yalikuwa part of his day to day duties. tuseme polisi kazi yao ni kuua wananchi? ....nawezasema kwamba, inawezekana na pia inaweza kuwa haiwezekani, ngoja kwanza nikaperuzi kwenye madesa na case law, ndio nitatoa jibu la maana. nawaachia wenzangu muendelee kuchangia.