Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaume wawili....:becky:
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahaha acha tu mkuu ile siwezi isahau kamweUmenikumbusha story yako ya Thailand[emoji23][emoji23]
Nasubiri jibu lake 😀
Hizo ndoto zilishakamilika au ushakuwa single mazanipate mwanaume mrefu, mweupe kias body loshiba kias anaejiheshimu, so
lovely. pua ndefu kama yangu hata yeye asipokuwa mzur wa sura mm
natosha. ili tuzae watoto wazur.na niwe mama bora.
Ya kweli haya?hao digidigi hakuna kitu ndugu yangu ndiyo kwanza wametoka kuchakazwa mitaani, akaona hana uelekeo ndiyo kuingia kwenye usista. wa makamu wameshakomaa wanajua mengi, pia unakuta wamekaa siku nyingi sana wana ugwadu wa kufa mtu, tena ukitafutiza zile sura ngumungumu utashangaa unakurupusha bikra yenye mvi...kwikwikwiii! Niliwahi kamata moja hiyo ilikuwa kama utani tu mara ikaniambia jumamosi ijayo itaibuka gheto, enzi hizo kijana tumepanga wawili nyumba tukagawana vyumba, jamaa yangu alvoona kiremba nikamwona antabasamu halafu akaunda safari huyoo tukabaki wenyewe yakaanza mapishi, muda wote huo remba liko on na story ni za heshima tu na za kuchombeza kidogo kwa mbaali, wkati wa msosi si nikatuia kachupa ka wine mwanaume nilikuwga najikakamua kukeep vichupa viwili vitatu, na wenzetu hawa hawnaga hiyana kutupia pombe kama kawaida. Kumbe kila mtu alikuwa anamhofia mwenzake, baadaye kabisa anataka kuondoka si ikabidi akaoge kwanza kupunguza joto na harufu ya vitunguu...loh, sijui kilitokea nini hapa katikati lakini tulikuja kujistukia uwanja wa umechafuka vibaya kuanzia sebuleni, chumbani, mpaka bafuni na mtu yuko hoi nusu kuzimia! msalaba ule wanavaaga shingoni umening'inia kwenye hook nyuma ya mlango, gauni halionekani kumbe nipo sebuleni juu ya kochi, kilemba kipo chini kimekuwa kama dekio ikabidi kufua na kukikausha kwa pasi..ballaa! yule mama haukuisha mwaka akaacha usister na kuolewa, sasa hivi ana watoto wawili wakubwa tu!
Iyo Safi mkuu Ila ngumu kuwapataMimi ilikuwaga kutawanya twins.....yani nidate nao huku wakijua ninawala wote,
Plz msinichambeeeeeee....
akili za zamani hizo [emoji16][emoji16]Iyo Safi mkuu Ila ngumu kuwapata
Those * are the shades of grey effectsMy fantasy is to smash as many races as possible in all of the habitable continents.
I'm not all the way there but I'm definitely half-way through.
cuffs, whipped cream with cherries and strawberries on top*
To date +kumnyandua a virgin girl mwenye swags kama za kislay queen yaan unyamwez flan hivi wa ki-black americaHello wanaJamiiforums.
Najua wengi wetu tumeanza mapenzi toka tukiwa na umri wa kubalehe.
Je paka leo katika maisha yako ya mapenzi, fantasy zako ni zipi?
Je umekwisha itimiza hizoo fantasy? na kama bado
Je utakuja ku zitimiza siku za usoni?
Wengine fantasy zao ni kudate makabila tofauti, raia wa rangi tofauti.
Wewe je?
Tufunguke