My fantasy was to hit my arrow in a white darts board,
One tym nikiwa chuo nikakutana club na classmate wangu mzungu,tukapombeka sana mpaka usiku mnene,then tukamdrop rafki yake hostel alafu mimi na dada wa kizungu tukachkua lodge Sinza tukavurugana sana,kuja kushtuka ni saa nne asubuhi simu inaita kuulizwa kama tuna endelea kufanya booking,
Kwa uchovu tuliokua nao ikabidi tubadili room then tuka book kwa siku ya pili,wacha nijilie kitu white mchana kweupe kwa siku ya pili.
Mpaka sasa tunawasiliana japo yeye kaolewa Sweden na mimi nimeoa Mbagala Maji Matitu..:angry: