Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaaa ip?
hiyo ya ubonge hiyo...dah, hivi kumbe uzani unahitajika sana eeh?
ahaaaa mku mm natafutwa ahaaa. awezi kuwa navyo. mf awe above 30, si bahili, anacare, msafi saaana huyo? si rahis
ndio raha ya mwanaume awe ameshiba kiasi na si mchele mwembamba. si sisi wa dada vi vimodo flan ivi poa
mimi bado kwa kweli
maana vya utamu vimezaliwa vingi
[/QUOTbadokatika maisha yakoo ya mapenzi, fantasy zakoo ni zipi?
Je umekwisha itimiza hizoo fantasy? na kam
Wengine fantasy zao ni kudate makabila tofauti, raia wa rangi tofauti.
Wewee je?
Tufunguke
[/SIZE]
hahaha aiseee kwenye promo uko juuhahahhaaa, hapo tu ndiyo nimeanguka, sina kitambi, nina mwili wa wastani kawaida tu si mwembamba si mnene, Sina muscle nyiingi, vyuma niliacha zamani kubeba...kwikwikwiii! Na wewe ni kimodo? vimodo ndiyo ugonjwa wangu, na kiwe kimodo haswa hata mvua ikinyesha naweza kukitia kwenye mfuko wa koti...lol!
hahaha aiseee kwenye promo uko juu
Niliwahi kuwa na fantasy kama hiyo. Lakini mazingira yalinizuia, nilipopata nafasi niliitumia barabara. races from far east, south America( wahindi wekundu) ndio sikuwa na access nao. And I'm done now..!
Kuna yule dada wa vodacom alikua itv sijui anaitwa nani tena yani yule nikimpata kuna kitu nitamfanyia achanganyikiwe
Sio Rukia Mtingwa?
aisee mzima wewe
Mie mzima. Hujambo sana!!??
hahaha aiseee kwenye promo uko juu