Je, Fantasy yako katika mapenzi ni ipi?

Je, Fantasy yako katika mapenzi ni ipi?

Hao ni rahisi sana, naona haujakaa karibu nao tu! Enzi za ujana nishawafunua magauni sanaa wadogo kwa wakubwa, wawili kati yao wakaamua kwenda kuolewa kabsa tukikutana huwa wananishukuru tu.

jf bhanaaaaa
 
jf bhanaaaaa

unashangaa nini? na hiyo mimi siiti fantasy. hao ni binadamu tu na wana mihemko kama wanwake wengine ukipata nafasi ukampigisha story za mahusiano unamwona anachemka, kama nafasi inaruhusu unagusa anachemka, hapo lazima apate sababu ya kumwomba Mama ruksa ya kutoka unaendda kumtafunia mbele kwa mbele...saafi! tena achana na vibinti vingi vinakuwa vimechakaa labda utafute sura mbovu, wadada wa makamo ndiyo wananoga.
 
Niliwahi kuwa na fantasy kama hiyo. Lakini mazingira yalinizuia, nilipopata nafasi niliitumia barabara. races from far east, south America( wahindi wekundu) ndio sikuwa na access nao. And I'm done now..!

hongera sana
 
Hao ni rahisi sana, naona haujakaa karibu nao tu! Enzi za ujana nishawafunua magauni sanaa wadogo kwa wakubwa, wawili kati yao wakaamua kwenda kuolewa kabsa tukikutana huwa wananishukuru tu.
Ulikaa nao mitaa ipi?
 
et eeeh nipe hints wapi nijichanganye kumbuka sinywi alcohol

Hata kama haunywi pombe, hebu jaribu kubadili sehemu unazopata msosi, jifanye mpenzi wa Sushi pale Osaka, au iced tea Spurs, Shooters, water front, kama we ni mchumi nenda hata pale HotBox Leaders kale baga, usiwe desperate, we fanya tu kama unakwenda kupata msosi wa mchana kila siku pale...usiwe na haraka, lazima kuna mtu siku atavutiwa na kuomba kukaa kiti mkabala...teh teh!
 
Back
Top Bottom