Je, Fantasy yako katika mapenzi ni ipi?

Je, Fantasy yako katika mapenzi ni ipi?

Hello
wanaJamiiforums.
Najua wengi wetu tumeanza mapenzi toka tukiwa na umri wa kubalehe.

Je paka leo katika maisha yakoo ya mapenzi, fantasy zakoo ni zipi?

Je umekwisha itimiza hizoo fantasy? na kama bado

Je utakuja ku zitimiza siku za usoni?

Wengine fantasy zao ni kudate makabila tofauti, raia wa rangi tofauti.

Wewee je?

Tufunguke




nipate mwanaume mrefu, mweupe kias body loshiba kias anaejiheshimu, so
lovely. pua ndefu kama yangu hata yeye asipokuwa mzur wa sura mm
natosha. ili tuzae watoto wazur.na niwe mama bora.
 
nipate mwanaume mrefu, mweupe kias body loshiba kias anaejiheshimu, so
lovely. pua ndefu kama yangu hata yeye asipokuwa mzur wa sura mm
natosha. ili tuzae watoto wazur.na niwe mama bora.

dah, nimekosa moja tu kati ya hizo!
 
Fantasy yangu in life is tu mit someone hu truly love me 4 hu r Im n nothin' else n hum I love her back as much as she dase me ♥♥♥♥

Siku Hizi Siunajua Mapenzi Magumashi.. Ilaaa utampata mdau omba saana Mungu!
 
nipate mwanaume mrefu, mweupe kias body loshiba kias anaejiheshimu, so
lovely. pua ndefu kama yangu hata yeye asipokuwa mzur wa sura mm
natosha. ili tuzae watoto wazur.na niwe mama bora.

Hahahahaa Mungu Atakupatia Hitaji Labda Moyo Wako!!
 
unashangaa nini? na hiyo mimi siiti fantasy. hao ni binadamu tu na wana mihemko kama wanwake wengine ukipata nafasi ukampigisha story za mahusiano unamwona anachemka, kama nafasi inaruhusu unagusa anachemka, hapo lazima apate sababu ya kumwomba Mama ruksa ya kutoka unaendda kumtafunia mbele kwa mbele...saafi! tena achana na vibinti vingi vinakuwa vimechakaa labda utafute sura mbovu, wadada wa makamo ndiyo wananoga.

CYBERTEQ unanchekesha sana hapo kwenye color how aged ndo watam zaid ya hawa digidigi???what so special they have
 
Last edited by a moderator:
Mine was dating wth white gal and it happened i got the cute one from sweden ila ni wiki mbili ss tangu nipigwe kibuti it so sad indeed!

Aunt Lisa leo ametoa mada ambayo some of us tunashare what we feel pole mdau brobiz ila utapata Mscotish
 
Last edited by a moderator:
Fantasy maana yake nini?

viingereza vya .com mama, ni kama vile ndoto za mchana, kitu ambacho kikawaida kinaonekana kigumu au weird lakini kinawezekana. Mfano mtu anakuwa anatamani kufanya mapenzi na wanaume/wanawake wawili kwa wakati mmoja, anakuwa ana imagine tu kuwa akishughulikiwa sehem flani na sehem fulani simultaneously ataona raha ya ajabu, kw hali ya kawaida utamshangaa lakini yeye ndiyo ana fancy hivyo!
 
CYBERTEQ unanchekesha sana hapo kwenye color how aged ndo watam zaid ya hawa digidigi???what so special they have

hao digidigi hakuna kitu ndugu yangu ndiyo kwanza wametoka kuchakazwa mitaani, akaona hana uelekeo ndiyo kuingia kwenye usista. wa makamu wameshakomaa wanajua mengi, pia unakuta wamekaa siku nyingi sana wana ugwadu wa kufa mtu, tena ukitafutiza zile sura ngumungumu utashangaa unakurupusha bikra yenye mvi...kwikwikwiii! Niliwahi kamata moja hiyo ilikuwa kama utani tu mara ikaniambia jumamosi ijayo itaibuka gheto, enzi hizo kijana tumepanga wawili nyumba tukagawana vyumba, jamaa yangu alvoona kiremba nikamwona antabasamu halafu akaunda safari huyoo tukabaki wenyewe yakaanza mapishi, muda wote huo remba liko on na story ni za heshima tu na za kuchombeza kidogo kwa mbaali, wkati wa msosi si nikatuia kachupa ka wine mwanaume nilikuwga najikakamua kukeep vichupa viwili vitatu, na wenzetu hawa hawnaga hiyana kutupia pombe kama kawaida. Kumbe kila mtu alikuwa anamhofia mwenzake, baadaye kabisa anataka kuondoka si ikabidi akaoge kwanza kupunguza joto na harufu ya vitunguu...loh, sijui kilitokea nini hapa katikati lakini tulikuja kujistukia uwanja wa umechafuka vibaya kuanzia sebuleni, chumbani, mpaka bafuni na mtu yuko hoi nusu kuzimia! msalaba ule wanavaaga shingoni umening'inia kwenye hook nyuma ya mlango, gauni halionekani kumbe nipo sebuleni juu ya kochi, kilemba kipo chini kimekuwa kama dekio ikabidi kufua na kukikausha kwa pasi..ballaa! yule mama haukuisha mwaka akaacha usister na kuolewa, sasa hivi ana watoto wawili wakubwa tu!
 
nipate mwanaume mrefu, mweupe kias body loshiba kias anaejiheshimu, so
lovely. pua ndefu kama yangu hata yeye asipokuwa mzur wa sura mm
natosha. ili tuzae watoto wazur.na niwe mama bora.

asee kuna mtu zenu zinaendana hebu pitia pitia comments umtafute....
 
Back
Top Bottom