Je, FedEx wana ofisi pale airport Dar? Kuna anaefahamu mizigo ya FedEx inafikia ofisi ipi Kwa ajili ya custom clearance

Je, FedEx wana ofisi pale airport Dar? Kuna anaefahamu mizigo ya FedEx inafikia ofisi ipi Kwa ajili ya custom clearance

Kwanini shirika letu la posta halichangamkii fursa ya kusafirisha na kupkeai mizigo toka nchi za nje kwa ufanisi na uharaka wa hali ya juu au nod desturi yetu cha umma lazima kibovu kisiwe na ufanisi
 
Kuna mzigo wangu(laptop) umefika Dar Kwa kutumia FedEx, Mimi npo Dom (na nililipa Pesa ya na nauli na kuweka address ya Dom). Lakin naona mzigo umefika upo customs, ila wamenipigia simu ili kufanya mchakato wa kufanya clearance, lakini bado wanataka Pesa nyingine 118000(Kwa ajil ya kufanya clearance), na nkiangalia vizur naona si kampuni ya FedEx, ni kampuni nyingine inaitwa Faris Express Services Company ndo wanataka hio Pesa. Je

1. Inakuaje wanakua na gharama hivo kutoa mzigo. Nilishawahi tumia DHL gharama zao ni 0.6% ya bei ya mzigo
2. Kutoa laptop airport ni lazima agent naweza kwenda mwenyew?
3. Kama agent ni lazima kwanin wasifanye FedEx wenyewe, wawape watu WA Kati wenye gharama hiv.

Naombeni ufafanuz zaid labda kuna vitu sivifahamu hapa
Uzi wa mwaka juzi,ila ukweli FedEx wakala wake n faris..FedEx Hana leseni ya forodha mkuu.
 
Back
Top Bottom