Ujapata jibu mpk sasa ?Wakuu habari za leo.
Nauliza kwamba Forensic Investigation wanao uwezo wa kugundua maandishi kwenye soft copy kama yamebadilishwa kutokana na original document?
Yaani mfano barua iliandikwa kuhusu maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi kisha maandishi hayo yakafutwa na kuandikwa mkopo wa benki je watagundua?
Majibu tafadhali...
Swali lako haliko sawa, ila fraud inajurikana ikifika kwa watu wenye taaluma yao.Wakuu habari za leo.
Nauliza kwamba Forensic Investigation wanao uwezo wa kugundua maandishi kwenye soft copy kama yamebadilishwa kutokana na original document?
Yaani mfano barua iliandikwa kuhusu maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi kisha maandishi hayo yakafutwa na kuandikwa mkopo wa benki je watagundua?
Majibu tafadhali...
Yaani yale maandishi yaliyokuwa kwenye ile barua ya mwanzo yanafutwa yanakuwa overwritten.Swali lako haliko sawa, ila fraud inajurikana ikifika kwa watu wenye taaluma yao.
Kama inawezekana hard copy iliyochomwa moto kuirecover ndio sembuse issue ya kitoto kama hiyo?
Mimi nakushauri kama umetapeliwa ni bora uombe msaada jinsi ya kumkabili huyo muhuni kuliko huu ufafanuzi nusunusu unaohitaji.Yaani yale maandishi yaliyokuwa kwenye ile barua ya mwanzo yanafutwa yanakuwa overwritten.
Wakuu habari za leo.
Nauliza kwamba Forensic Investigation wanao uwezo wa kugundua maandishi kwenye soft copy kama yamebadilishwa kutokana na original document?
Yaani mfano barua iliandikwa kuhusu maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi kisha maandishi hayo yakafutwa na kuandikwa mkopo wa benki je watagundua?
Majibu tafadhali...
πππππ sasa wanatumia nn...majivu kuweza kurecoverSwali lako haliko sawa, ila fraud inajurikana ikifika kwa watu wenye taaluma yao.
Kama inawezekana hard copy iliyochomwa moto kuirecover ndio sembuse issue ya kitoto kama hiyo?
Yes. InawezekanaWakuu habari za leo.
Nauliza kwamba Forensic Investigation wanao uwezo wa kugundua maandishi kwenye soft copy kama yamebadilishwa kutokana na original document?
Yaani mfano barua iliandikwa kuhusu maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi kisha maandishi hayo yakafutwa na kuandikwa mkopo wa benki je watagundua?
Majibu tafadhali...
πππππ sasa wanatumia nn...majivu kuweza kurecover
Unafanyafanyaje? Au hata kwenye majivu mnatumia luminol pia?Malyenge ,
Mkuu, Forensic science siyo kitu cha kisportsport Aiseee.
Sikia hilo swali lako na ulichouliza ni cha mtoto.
Iko hivi , hata kama ukichomo moto nikipata yale majivu ya hizo karatasi tu mzigo wote uliyokuwa umeandikwa kabla ya kuchomwa unarudishwa na unakuwa kama mwanzo.
Sasa , kwenye soft copy ndiyo rahisi kama vile kumsukuma mlevi kwenye mtelemko.
Kwa kifupi elewa tu kuwa, Forensic Science ni swala mtambuka inapokuja kwenye issues za investigations.
Ofocurse inawezekana vizuri tu, hadi device zilizotumika kukubadirishaWakuu habari za leo.
Nauliza kwamba Forensic Investigation wanao uwezo wa kugundua maandishi kwenye soft copy kama yamebadilishwa kutokana na original document?
Yaani mfano barua iliandikwa kuhusu maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi kisha maandishi hayo yakafutwa na kuandikwa mkopo wa benki je watagundua?
Majibu tafadhali...
Mkuu umeshindikana umeamka kutoka usingizini sio kwa majibu hayoπππππ sasa wanatumia nn...majivu kuweza kurecover
Unaemuuliza sidhani Kama yupo hai!Unafanyafanyaje? Au hata kwenye majivu mnatumia luminol pia?