Je, Freeman Mbowe akiteuliwa na Rais kuwa mbunge atakataa au mnawabania tu wabunge wa BAWACHA?

hili la madiwani wa viti maalum limewauma kweli kweli, na bado dhambi hii itawatafuna vibaya mno wote mlioshiriki dhambi hii ya kuubaka uchaguzi mkuu uliopita..
 
Mbowe huyu huyu ambaye kila siku jiwe kwa kumtumia DC sabaya anatafuta namna ya kumuangamiza iwe kibiashara au kiuhai au kuna mbowe mwiingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…