johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umejawa na upuuzi mwingi sana JoKwa Sasa Nguvu za Freeman Mbowe zinataka kuimeza na CCM
Je huyu ndio Rais wa JMT mtarajiwa?
Kwako Uncle Makongoro Nyerere ๐
Sabato Njema ๐น
Hivi katika wanyama ambao wasabato hawaruhusiwi kula, na mbwa yumo?Kwa Sasa Nguvu za Freeman Mbowe zinataka kuimeza na CCM
Je huyu ndio Rais wa JMT mtarajiwa?
Kwako Uncle Makongoro Nyerere ๐
Sabato Njema ๐น
Kwa Sasa Nguvu za Freeman Mbowe
Hii ni provocation.
๐๐๐๐Umejawa na upuuzi mwingi sana Jo
SIjuhi ccm wanampendea nini huyu jamaaKwa Sasa Nguvu za Freeman Mbowe zinataka kuimeza na CCM
Je huyu ndio Rais wa JMT mtarajiwa?
Kwako Uncle Makongoro Nyerere ๐
Sabato Njema ๐น
๐๐๐๐
Kumtupa ndani Padre siyo jambo dogo ๐ผ
Visungura hivyo vinamdhuruUmejawa na upuuzi mwingi sana Jo
Wanamtumia kuikata upepo Chadema ili wapate wepesi,huko CCM kuna fukuto siyo la kitoto ni vile halivumi kama la huku Chadema. CCM wako kwenye dilemma, Samia hatakiwi kabisa hasa huko Kanda ya ziwa na ujue huko ndiyo kuna kura nyingi watu wako tayari wampe kura Lissu kama atapitishwa kugombea urais na CCM wakimpitisha Samia ndiyo unaona huu uswahiba wa Chief Hangaya na Sultan kumbolck Lissu. Mambo ni ๐ฅ huko mboga mboga.SIjuhi ccm wanampendea nini huyu jamaa
Ingekuwa bora kama jina la Makongoro Nyerere lingeondolewa hapo.Kwa Sasa Nguvu za Freeman Mbowe zinataka kuimeza na CCM
Je huyu ndio Rais wa JMT mtarajiwa?
Kwako Uncle Makongoro Nyerere ๐
Sabato Njema ๐น
Amekuwa ni Mpinzani "poa"tokea atoke Gerezani.SIjuhi ccm wanampendea nini huyu jamaa
Tangu lini CCM wakategemea kura yako ? Akishapitishwa na chama imeisha hiyo ..sema wanamuogopa Lissu akiwa mwenyekiti ule mdomo wake alijaaliwa kuutumia vizuri ref. Kikwete alikiriWanamtumia kuikata upepo Chadema ili wapate wepesi,huko CCM kuna fukuto siyo la kitoto ni vile halivumi kama la huku Chadema. CCM wako kwenye dilemma, Samia hatakiwi kabisa hasa huko Kanda ya ziwa na ujue huko ndiyo kuna kura nyingi watu wako tayari wampe kura Lissu kama atapitishwa kugombea urais na CCM wakimpitisha Samia ndiyo unaona huu uswahiba wa Chief Hangaya na Sultan kumbolck Lissu. Mambo ni ๐ฅ huko mboga mboga.
Kuna majira na nyakati.Tangu lini CCM wakategemea kura yako ? Akishapitishwa na chama imeisha hiyo ..sema wanamuogopa Lissu akiwa mwenyekiti ule mdomo wake alijaaliwa kuutumia vizuri ref. Kikwete alikiri
๐ฎ๐ฎ๐ฎKwa Sasa Nguvu za Freeman Mbowe zinataka kuimeza na CCM
Je huyu ndio Rais wa JMT mtarajiwa?
Kwako Uncle Makongoro Nyerere ๐
Sabato Njema ๐น