Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamtumia kuikata upepo Chadema ili wapate wepesi,huko CCM kuna fukuto siyo la kitoto ni vile halivumi kama la huku Chadema. CCM wako kwenye dilemma, Samia hatakiwi kabisa hasa huko Kanda ya ziwa na ujue huko ndiyo kuna kura nyingi watu wako tayari wampe kura Lissu kama atapitishwa kugombea urais na CCM wakimpitisha Samia ndiyo unaona huu uswahiba wa Chief Hangaya na Sultan kumbolck Lissu. Mambo ni 🔥 huko mboga mboga.
Mzee Mgàya wakati mwingine ànakuwa kama Pierre Liquid.Umejawa na upuuzi mwingi sana Jo
😅😅😂😂unataka awe rais wa kudumu non stop😂Kwa Sasa Nguvu za Freeman Mbowe zinataka kuimeza na CCM
Je huyu ndio Rais wa JMT mtarajiwa?
Kwako Uncle Makongoro Nyerere 😂
Sabato Njema 🌹
Wapiga kampeni wa Mbowe wanapigwa spana ile mbaya🤣😂👇
View: https://youtu.be/f8ntIjb1I2c?si=BlsRzKpRP6iB6pES
Wako radhi kusema uongo.Haahaa eti wote wameongoza miaka 20😂😂😂team mbowe maji ya shingo