Je, Friends of Simba watakubali Simba iwafunge Vipers ili waendelee kutukanwa?

Je, Friends of Simba watakubali Simba iwafunge Vipers ili waendelee kutukanwa?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nawaambia wadau wa soka hasa mashabiki wa Simba, msiende na matokeo mfukoni kwenye gemu na Vipers, mm ninawahofia sana hao marafiki wa Simba, hao wakiamua lao hawashindwi.

Kama uongozi haujaelewana nao hadi leo basi wafanye hima wakayamalize otherwise mchezo na Vipers utakuwa mgumu sana.Mwisho, mtawatukana wachezaji wazee, cjui hawajitumi, cjui Mgunda anahujumu timu, cjui Robertinho sio kocha na kila aina ya ujinga.

Simba ni nguvu moja, ikikosekana hiyo hata tudhikiri uchi ushindi haupatikani.
 
Nawaambia wadau wa soka hasa mashabiki wa Simba, msiende na matokeo mfukoni kwenye gemu na Vipers, mm ninawahofia sana hao marafiki wa Simba, hao wakiamua lao hawashindwi.

Kama uongozi haujaelewana nao hadi leo basi wafanye hima wakayamalize otherwise mchezo na Vipers utakuwa mgumu sana.Mwisho, mtawatukana wachezaji wazee, cjui hawajitumi, cjui Mgunda anahujumu timu, cjui Robertinho sio kocha na kila aina ya ujinga.

Simba ni nguvu moja, ikikosekana hiyo hata tudhikiri uchi ushindi haupatikani.
jana nilikua sehemu na mtu wa FoS ,Jjama kama wamepanic,hasa kuondolewa wote ktk board
 
Nawaambia wadau wa soka hasa mashabiki wa Simba, msiende na matokeo mfukoni kwenye gemu na Vipers, mm ninawahofia sana hao marafiki wa Simba, hao wakiamua lao hawashindwi.

Kama uongozi haujaelewana nao hadi leo basi wafanye hima wakayamalize otherwise mchezo na Vipers utakuwa mgumu sana.Mwisho, mtawatukana wachezaji wazee, cjui hawajitumi, cjui Mgunda anahujumu timu, cjui Robertinho sio kocha na kila aina ya ujinga.

Simba ni nguvu moja, ikikosekana hiyo hata tudhikiri uchi ushindi haupatikani.
Ngoja wafungwe na Yanga ili uongozi uparanganyike
 
Nawaambia wadau wa soka hasa mashabiki wa Simba, msiende na matokeo mfukoni kwenye gemu na Vipers, mm ninawahofia sana hao marafiki wa Simba, hao wakiamua lao hawashindwi.
Friends of Simba: Starting XI:
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Joash Onyango
5. Henock Inonga
6. Sadio Kanoute
7. Pape Sakho
8. Muzamiru Yassin
9. John Bocco
10. Saido Ntibazonkiza
11. Clatous Chama
 
Mo na Utajiri wake wa CNN huyu jamaa miyeyusho sana aisee.Hapo watalaumiwa akina mangungu na try Again ila Virus ni Mo.Ndo maana Idd Amini alivochukuwa Uganda alifukuza wahindi wakakimbilia Canada sio India.
Kabla ya Mo mhindi ni lini Simba ilikuwa na mafanikio na ambayo yaliletwa na ngozi nyeusi? Mapungufu ya Mo sio ya kumwandika kama upuuzi ulioandika.
 
Nawaambia wadau wa soka hasa mashabiki wa Simba, msiende na matokeo mfukoni kwenye gemu na Vipers, mm ninawahofia sana hao marafiki wa Simba, hao wakiamua lao hawashindwi.

Kama uongozi haujaelewana nao hadi leo basi wafanye hima wakayamalize otherwise mchezo na Vipers utakuwa mgumu sana.Mwisho, mtawatukana wachezaji wazee, cjui hawajitumi, cjui Mgunda anahujumu timu, cjui Robertinho sio kocha na kila aina ya ujinga.

Simba ni nguvu moja, ikikosekana hiyo hata tudhikiri uchi ushindi haupatikani.
Kwani shinikizo la Friends of Simba ni lipi hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani shinikizo la Friends of Simba ni lipi hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Awa jamaa bwana walitaka kuweka watu wao kwenye nafasi mbali mbali za uongozi ikiwemo uenyekiti uchaguzi uliopita ila mambo yakabuma hasa kwenye nafasi za juu.
hawa jamaa mimi binafsi nawaheshimu na nawakubali.ila Kanji kiaina kama anawakataa flani hivi.wasipokua pamoja wakaelewana mambo yataparaganyika zaidi.
 
Watafanyaje?
Enheee ? Connection yao na Ushindi ikoje?
Ingekuwa kipindi cha Michango tungesema saiv michango itapungua.
Maisha yanabadilika inatakiwa wabadilike, ila hawana influence yoyote kwenye ushindi provided Pesa ya posho, Bonus na mishahara inakuwepo.
Unataka kuniambia Inonga na kanoute wanajua hata hiyo "friends of whatever" inamaanisha nini?

Walikuja Bongo kucheza wamefuata hela, wakipewa hela waliyoifuata watacheza tu haijalishi nani ni kiongozi.
Karata pekee wanayoweza itumia ni mashabiki, lakini kwa nnavyojua Mashabiki wa Simba ni loyal kwa "MO" hata wakimkamata anaiba watakuambia alikuwa "anatuwekea vizuri".
Wanachotakiwa kukubali ni kuwa walikuwa wa muhimu kipindi cha Michango, since michango imekoma hawana umuhimu tena.
Kama kuna nafasi ya uongozi watapewa basi iwe ni kwa uwezo wao.
Na sio kwa kuwa ni "wanaharambee" wazuri.
 
Awa jamaa bwana walitaka kuweka watu wao kwenye nafasi mbali mbali za uongozi ikiwemo uenyekiti uchaguzi uliopita ila mambo yakabuma hasa kwenye nafasi za juu.
hawa jamaa mimi binafsi nawaheshimu na nawakubali.ila Kanji kiaina kama anawakataa flani hivi.wasipokua pamoja wakaelewana mambo yataparaganyika zaidi.
Kwahiyo Patrick Kaluwa ni mtu wa FoS na Mangungu Murtaza ni wa Mo Dewji.

Mbona naona kama upande wa Mo Dewji ndio unaushawishi mkubwa sana kuliko FoS.

Hawa FoS kibuli wanakitolea wapi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watafanyaje?
Enheee ? Connection yao na Ushindi ikoje?
Ingekuwa kipindi cha Michango tungesema saiv michango itapungua.
Maisha yanabadilika inatakiwa wabadilike, ila hawana influence yoyote kwenye ushindi provided Pesa ya posho, Bonus na mishahara inakuwepo.
Unataka kuniambia Inonga na kanoute wanajua hata hiyo "friends of whatever" inamaanisha nini?

Walikuja Bongo kucheza wamefuata hela, wakipewa hela waliyoifuata watacheza tu haijalishi nani ni kiongozi.
Karata pekee wanayoweza itumia ni mashabiki, lakini kwa nnavyojua Mashabiki wa Simba ni loyal kwa "MO" hata wakimkamata anaiba watakuambia alikuwa "anatuwekea vizuri".
Wanachotakiwa kukubali ni kuwa walikuwa wa muhimu kipindi cha Michango, since michango imekoma hawana umuhimu tena.
Kama kuna nafasi ya uongozi watapewa basi iwe ni kwa uwezo wao.
Na sio kwa kuwa ni "wanaharambee" wazuri.
Huzijui fitna za huu mpira wetu, kuna senior players pale Simba wakuangaliwa kwa makini sana.
 
Huzijui fitna za huu mpira wetu, kuna senior players pale Simba wakuangaliwa kwa makini sana.
Asa kama wanaweza kutoa Rushwa ili tufungwe?
Hao friends of Simba na huyo Mchezaji anayepokea Rushwa wanastahili kuwa Simba?
Au inazidisha kuwa aliyewaondoa alikuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom