Je, gari yako inatembea Kilomita ngapi kwa lita moja ya mafuta?

Je, gari yako inatembea Kilomita ngapi kwa lita moja ya mafuta?

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Gari ukiendesha vizuri inatumia mafuta vizuri hadi unashangaa. Kuna kipindi huwa unaweza kupata hata km20/lita kwa gari ya CC2000. Ila haichukui muda inarudi kwenye 10-12km/l.

Kuna sehemu huwa naipatia naitega inanipa 20+km/l
1594722199721.png
 
Sasa unakimbiza afu unaachia wese mkuu si inaeza soma hata 30km kwa llita kama mark x ....bonyeza wese mfululizo ukiwa na speed unayotembea kawaida ndo utapata makadirio mazuri
 
Kama huna haraka na hauko highway sawa.. Na vile huta enjoy the ride kwa mashine kubwa kama hiyo ya CC 2000 halafu mwendo wa bajaj

Jr[emoji769]
Ha ha ha mkubwa, kuinjoi ni mpaka 140-160kph? Mimi nikiamua hivyo najua kabisa leo namaliza wese sijali natembea balaa. Hii ya rev 1500 huwa naifanya usiku nikiwa natoka kwenye mihangaiko sina haraka naenda home. Hata asubuhi huwa sivuki 60kph hapa mjini
 
Hapo sawa na pia barabara zetu zinaruhusu
Ha ha ha mkubwa, kuinjoi ni mpaka 140-160kph? Mimi nikiamua hivyo najua kabisa leo namaliza wese sijali natembea balaa. Hii ya rev 1500 huwa naifanya usiku nikiwa natoka kwenye mihangaiko sina haraka naenda home. Hata asubuhi huwa sivuki 60kph hapa mjini

Jr[emoji769]
 
Gari ukiendesha vizuri inatumia mafuta vizuri hadi unashangaa. Kuna kipindi huwa unaweza kupata hata km20/lita kwa gari ya CC2000. Ila haichukui muda inarudi kwenye 10-12km/l.

Kuna sehemu huwa naipatia naitega inanipa 20+km/l

View attachment 1340798
Hii ni vipi ? unaongelea ku set silence ?, maana 20km/l kwa engine ya 2000cc ni jambo la ajabu sana kwangu, mimi ninayo engine ya 2490, consumption yake ni hatare, nijuze
 
Hii ni vipi ? unaongelea ku set silence ?, maana 20km/l kwa engine ya 2000cc ni jambo la ajabu sana kwangu, mimi ninayo engine ya 2490, consumption yake ni hatare, nijuze
Hapo gari inatembea mkuu, 60kph. Gari iko gear namba 6, rev 1500
 
Sasa unakimbiza afu unaachia wese mkuu si inaeza soma hata 30km kwa llita kama mark x ....bonyeza wese mfululizo ukiwa na speed unayotembea kawaida ndo utapata makadirio mazuri
Sijaachia wese. Actually nimeset cruise control at 60kph rev iko 1500. Alama ya kijani ni cruise control
 
Mambo ya kuzingatia katika utumiaji mdogo wa wese. Kwanza hakikisha tairi zako zina upepo sahihi, upepo mdogo kwenye gari unakula mafuta zaidi. Ukitumia air conditioning inatumia mafuta ya ziada pia Unaposafiri panga vizuri Safari yako na epuka mda wa msongamano wa magari.

Na la mwisho wakati unapangua gears jaribu kuruka gear zingine. Kwa mfano uko kwenye gia ya tatu unaenda ya tano na hii inasaidia kuokoa mafuta na haiharibu kitu FACT.

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Sijaachia wese. Actually nimeset cruise control at 60kph rev iko 1500. Alama ya kijani ni cruise control

60kph at 1500rpm means at 3000rpm speed itakuwa 120 hapo naona ipo na gia ya mwsho hata premio at 3000rpm gia ya mwsho unakuwa na 120kph kina brevis naona ni 125 kama sio 130...

Je, inaonesha hivo kwa muda gani au sekunde kadhaa tu?
 
Back
Top Bottom