Je, gari yako inatembea Kilomita ngapi kwa lita moja ya mafuta?

Je, gari yako inatembea Kilomita ngapi kwa lita moja ya mafuta?

Mwendo mdogo unakula mafuta kuliko wengi tunavyofikiria. Hii ni kwa sababu engine inazunguka sana lakini kwa vile gia ni kubwa gari inakua na nguvu lakini inaenda mwendo mdogo.

Ukitembelea gia namba moja kutoka eneo A kwenda B na mwingine akatembelea namba tatu umbali huo huo aliyetumia gia namba moja anawezakutumia mafuta mengi zaidi.

Nafikiri hiyo ndio sababu mwendo wa 60kmh - 70kmh unakua hauli sana mafuta.
 
Kutoka Sandton City hadi the Mall of Africa kila siku. Kwa mwezi mafuta ya laki 2. cc 1500 speed 50 hadi 80, sizidishagi zaidi ya hapo.

Ila yote hayo yatafanya kazi IWAPO gari sio mbovu, kama gari ina ubovu ubovu hata ukiwa on parking mode, silencer inapanda hadi 2 au 3 na kuonesha mafuta yanalika na muungurumo wa gari bado unakuwa mkubwa.

Sijui nimepatia au bange zishapanda....
 
Vijana wengi wa mjini hawajui kuendesha manual transmission.
Hilo suala la kuruka gear kutoka namba 3 Hadi tano ni usiku wa Giza kwao
Hii ni mbinu nzuri sana, ila kuna wengine wanapingana nayo wakidhani inaharibu gearbox.

Kuna mzee aliwahi nipa deiwaka Isuzu Bighorn nimpeleke Kilosa, kumbe alikuwa anacheki ninavyo badili gear kwa kuruka kuna muda uvumilivu ukamshinda akaniambia kijana utaua gearbox tushindwe kukamilisha safari.
 
Kutoka Sandton City hadi the Mall of Africa kila siku. Kwa mwezi mafuta ya laki 2. cc 1500 speed 50 hadi 80, sizidishagi zaidi ya hapo.

Ila yote hayo yatafanya kazi IWAPO gari sio mbovu, kama gari ina ubovu ubovu hata ukiwa on parking mode, silencer inapanda hadi 2 au 3 na kuonesha mafuta yanalika na muungurumo wa gari bado unakuwa mkubwa.

Sijui nimepatia au bange zishapanda....
Lita ngapi hizo?!
 
hizi hesabu haziendi hivyo mkuu. gear ratio siyo linear, na zinatofautiana kwa jinsi transmission ilivyoundwa. kuna gari zikiwa kwenye overdrive gear, 110kph inatembelea rpm 1500.
60kph at 1500rpm means at 3000rpm speed itakuwa 120 hapo naona ipo na gia ya mwsho hata premio at 3000rpm gia ya mwsho unakuwa na 120kph kina brevis naona ni 125 kama sio 130...

Je inaonesha hivo kwa muda gani au sekunde kadhaa tu.....??
 
hizi hesabu haziendi hivyo mkuu. gear ratio siyo linear, na zinatofautiana kwa jinsi transmission ilivyoundwa. kuna gari zikiwa kwenye overdrive gear, 110kph inatembelea rpm 1500.
...usiwe unakurupuka soma uelewe nimeandika kwa gia ya mwisho....gear zile ni fixed kama no 3 at 3000rpm speed ikawa mfano 70kph basi hadi unaingia kaburini kwa gari hilo haibadiliki ....ndo hivo hivo ....
 
The Monk,
Nkurekebishe kidogo sio kwamba engine inazunguka sana naeza nikawa na 20 to 30kph na mshale ukawa bado uko kwenye kati kati ya moja na mbili rpm. Sasa hapo sio kwmba engine inazunguka sana ni kwamba kiasi hicho hicho cha rpm kama ungekuwa na gia kubwa basi ungekuwa somewhere 70kph or 80 kabisa depending na ratio za gari husika
 
Back
Top Bottom