HaifaiWakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zinatofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwez kwenda nalo masafa marefu km dar to kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?
Yaani bora nitembelee gari hata ya cc650 kuliko kupambana kwa miguu na jua,mvua,vurugu za mwendokasi ili tu nije kununua gari zuri tena ambalo najua litakua la miaka mingi used huko mambele.Tatizo ni mentality. Wamatumbi wengi wanapenda vitu cheap cheap sana.
Bora ukae miaka 4 huna gari...ila siku ukimiliki unamiliki gari ya kueleweka
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ukiishi kuonesha watu utaumiaMkuu uwa unajisikiaje ukipack mombo kula pembeni mwezio kapack kluger, jiran yako kapack harrier new model , alafu wote mnakwenda Moshi hua unajisikiaje hapo Mkuu? Hivi high way si unakua mnyonge sana kila gari inakupita?!
Hizo townace ni Noah?Mpya zipo mil 14 ~ 19.
Nna wasiwasi na uelewa wako juu ya magari. Hivi tafsiri ya gari ndogo ni nn?! Udogo wa engine, udogo wa umbo au ground clearance. Gari yoyote ili idumu mda mrefu inahitaji matunzo na hyo gari utakayo inunua iendanane na matumizi yako. Huwezi kununua sedan car alaf shughuli zako nyingi zipo off-road. Nimesema nna wasiwasi na uelewa wako kwa kuwa sababu ulizotoa ni dhaifu sana. ''Suv yenye cc 1990 ni imara na haiaribiki haraka''😂😂😂 pasipo kujali driving habits, service na barabara unayoitumia frequentlyKumiliki gari ndogo siyo kosa gari ndogo inachoka haraka Sana kwa sabb iko chini Sana nying ndani ya miaka 2,3 ishapondeka mbele haitamaniki hata mnunuzi anakupunja na pia injin yake ni ndogo hivyo huchoka haraka SUV yenye cc Zaid ya 1990 ni gari imara na hairabiki haraka na hudumu muda mrefu mpaka miaka 10 na kuendelea unayo tofauti na gari ndogo.
Ni watanzania wangp wananunua gari kulingana na matumuzi yao? Hivi hao wanaonunua gari Kama Porte, ist, passo unafikir kua Kama wanna uchumi imara watanunua gari hzo? Kweli? Mtu anatumia passo kusafirisha km 1000 unafik anapenda?Nna wasiwasi na uelewa wako juu ya magari. Hivi tafsiri ya gari ndogo ni nn?! Udogo wa engine, udogo wa umbo au ground clearance. Gari yoyote ili idumu mda mrefu inahitaji matunzo na hyo gari utakayo inunua iendanane na matumizi yako. Huwezi kununua sedan car alaf shughuli zako nyingi zipo off-road. Nimesema nna wasiwasi na uelewa wako kwa kuwa sababu ulizotoa ni dhaifu sana. ''Suv yenye cc 1990 ni imara na haiaribiki haraka''[emoji23][emoji23][emoji23] pasipo kujali driving habits, service na barabara unayoitumia frequently
Huwezi kupingana na ukweli, sasa ukiwa na hyo porte then ukaipigisha mziko kuliko ilivyostaili ukaipitisha ktk barabara mbovu, service haufanyi ikianza kuleta shida usikimbilie kusema gari ndogo hazidumu. Gari yoyote ile iwe engine kubwa ama ndogo ukiitumia ndivyo sivyo haitodumu. Sasa gari kama Porte uipitishe rough road tena uipigilie na mzigo na unatembea umbali wa km1000 ndani ya miezi 4 tu inakufa, umasikini wetu sio justification kwa sababu hizi gari haziwezi kuvumilia shida na zenyewe hazijui kama sisi ni masikini zitaharibika tu. Ni vema kuwa na gari inayoendana na matumizi yakoNi watanzania wangp wananunua gari kulingana na matumuzi yao? Hivi hao wanaonunua gari Kama Porte, ist, passo unafikir kua Kama wanna uchumi imara watanunua gari hzo? Kweli? Mtu anatumia passo kusafirisha km 1000 unafik anapenda?
Watu wanashangaa kwanini watu wanakimbilia IST ilihali main factor ni fuel economy na maintanance costs!Mkuu kuna watu wananunua IST new model kwa more than 20M. Hizi babywalker zina raha yake, hasa hapa town, halafu utumiaji wa mafuta ndio factor kubwa sana, kwa mishe za dar ukiweka mafuta ya 50k unatumia wiki nzima, kwa hiz gari ndogo.
Hata kama unauweza kuwa na SUV hizi ndogo nazo sio za kuzikosa. Sina msaada sana.
Suzuku gani hio inatembea 170KPH?Unajua kila kitu pia ni sanaa ndani yake. Tuliwahi kusafiri magari mengi baada ya mwaka mpya, njian magari yalikuwa mengi sana. Vx v8, prado, kluger, premio, suzuki escudo n.k. cha ajabu toka tunatoka dom aliyekuwa anaongoza kwa mbio alikiwa ni escudo, sisi wa kluger tulikuwa wa pili, vx alikuwa nyuma yetu.
Hapo speed tupo 170, sasa nilitarajia mwenye vx aongoze lakini hakuweza mziki. Kwa kuwa hana sanaaa ya udereva na ujasiri.
So kuwahi kufika hatugemei gari pekee yake bali na ujasiri pia
escort huyoSUV babywalker🤗🤗🤗
View attachment 1718658
Hiyo ni bajaji yenye bodi ya gariWakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zinatofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwez kwenda nalo masafa marefu km dar to kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?
C-HR ni gari ya kuvutia kweli? 😂😂😂 Ukikutana na Toyota Highlander si utaomba picha kabisa😂Leo nimepita place nikakuta mwamba kapaki TOYOTA C-RH . Aisee kuna gari zinavutia. [emoji53][emoji53]
Duh Prado!Mkuu inafaa kabisa. Sema inabidi uijali utumie quality oil na service ontime maana vipuri vyake vinaaribika mapema. Sema kaa ukijua hizo Gari siyo za masafa marefu hata ukisafiri nayo mbali utagundua unachoka sana pamoja na ni automatic ukilinganisha na SUV mfano Prado.
Kweli aisee bora hata uwe na suzuki kei ila haupigwi na jua wala haulowi na mvua kuliko kusubiri hiyo miaka minne ambayo pia huna uhakika kama utapata hilo gari ama unaweza kushindwa kununuaYaani bora nitembelee gari hata ya cc650 kuliko kupambana kwa miguu na jua,mvua,vurugu za mwendokasi ili tu nije kununua gari zuri tena ambalo najua litakua la miaka mingi used huko mambele.
Its nothing like that, but since it is a 1000cc engine you cant overstress it too much,but still it is capable of covering even 500 kilometer at a stretch. Then you will to take a break, not because of the car,but because of you, yourself will be tired. Cars are the greatest inventions ever, it works and works and works like a meniac!Kama pikipiki tena yenye air-cooler inaenda itashindwaje gari yenye rejeta?
Sema kama alivosema mdau Mwl.RCT hapo juu, ushajua gari yangu haiwezi shindana na wenye 2.0L zingatia haya:
1. Take it slow. Kama unahitajika uko "masafa marefu" mapema ni bora ukaondoka siku moja kabla kuliko kukimbizana njiani.
2. Jiwekee vituo kadhaa. Mfano kila baada ya 80-100km au 2 hours of driving itategemea pana mji au centre pumzika. Simamisha gari. Pata msosi afu zunguka zunguka ufanye utalii.
3. Ifanyie service kabla haujaondoka. Especially ya Oil, matairi, breki, etc.
4. Usibebe mizigo kupiliza. Ushajua gari yako haina cc kubwa so na nguvu (hp) itakua ndogo, usijibebee mizigo utaitesa. Mfano ukataka ule vichwa njiani lets say 3, pia ukabeba na mazawadi mazawadi unaweza ona una save kumbe unalitesa gari.
5. Mkiwa wawili itakua poa. Kupokezana maana hiyo safari ni ndefu.
6. Obey sheria zote ili kupunguza gharama za kuwatoa toa trafick.
Kwa experience yangu mimi nishaenda na IST Mbeya na Dodoma nishaipeleka Passo kwa mteja.
Hakuna sehemu nilipopinga haiwezi enda 1000km straight, sembuse 500? Dar to Dodoma tu.Its nothing like that, but since it is a 1000cc engine you cant overstress it too much,but still it is capable of covering even 500 kilometer at a stretch. Then you will to take a break, not because of the car,but because of you, yourself will be tired. Cars are the greatest inventions ever, it works and works and works like a meniac!
Mi sikumaanisha noah nilimaanisha zile zinazobeba mizigo kama kirikuu.Hizo townace ni Noah?
Hahahahahahaaa dah aisee kweli kabisaMimi sina gari mkuu, ila maisha mitandaoni, kwa vile hatuonani, kila mtu anajiona yuko zaidi, kumbe wengi hata pa kulala tunavizia, ila tunamiliki Simu ya kupondea vitu vya watu tu.