P Pellman Senior Member Joined Feb 13, 2017 Posts 195 Reaction score 220 Apr 25, 2021 #121 Mad Max said: Bila vituo ndio ila why taking risk. Dar to Mbeya kilometa 800 izo bora ubreak kila baada ya 200. Mfano Moro, Iringa, hafu Makambako au ukamalizia. Uzuri ukivuka Moro uko kuna baridi sana so cooling itakua more effective. Click to expand... Gari haipati moto na haipozwi na hali ya hewa. Yangekuwa yanaungua Uarabuni kwenye majangwa na kuganda kwenye matheluji ya Urusi huko.
Mad Max said: Bila vituo ndio ila why taking risk. Dar to Mbeya kilometa 800 izo bora ubreak kila baada ya 200. Mfano Moro, Iringa, hafu Makambako au ukamalizia. Uzuri ukivuka Moro uko kuna baridi sana so cooling itakua more effective. Click to expand... Gari haipati moto na haipozwi na hali ya hewa. Yangekuwa yanaungua Uarabuni kwenye majangwa na kuganda kwenye matheluji ya Urusi huko.
P Pellman Senior Member Joined Feb 13, 2017 Posts 195 Reaction score 220 Apr 25, 2021 #122 Tibalikwenda said: Ni watanzania wangp wananunua gari kulingana na matumuzi yao? Hivi hao wanaonunua gari Kama Porte, ist, passo unafikir kua Kama wanna uchumi imara watanunua gari hzo? Kweli? Mtu anatumia passo kusafirisha km 1000 unafik anapenda? Click to expand... Passo haifiki safari ya km 1000 ? Sasa Passo yenye odometer inasoma km. 100,000, ilifika fikaje hizo km laki moja bila engine kupasuka ?
Tibalikwenda said: Ni watanzania wangp wananunua gari kulingana na matumuzi yao? Hivi hao wanaonunua gari Kama Porte, ist, passo unafikir kua Kama wanna uchumi imara watanunua gari hzo? Kweli? Mtu anatumia passo kusafirisha km 1000 unafik anapenda? Click to expand... Passo haifiki safari ya km 1000 ? Sasa Passo yenye odometer inasoma km. 100,000, ilifika fikaje hizo km laki moja bila engine kupasuka ?