Je, GenZ wa Tanzania wanaweza kusimama kidete kama wenzao wa Kenya?

Sidhani kama Watanzania wanaweza kuandamana kwa kuishinikiza serikali, haitatokea kwani hapa Tanzania wananchi haswa vijana wa Gen - Z bado ni mambumbumbu sana, wao wanachowaza ni kujiuza, kupiga picha za utupu na kusikiliza bongo fleva tu, hawana akili zaidi ya hapa.
 
Ni ishara kwamba Vijana wa Kenya sio MAZUZU/MAZEZETA kama huku kwetu.Huku kwetu tupo busy na Yanga,Simba,kumsifia mama yao,kubet,kuruka kwanja disko,ulevi na anasa nyingine kibao.Ile ripoti tu ya CAG ilitosha kabisa kuipeleka nchi kwenye uchaguzi mkuu lakini wapi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…