Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chagua vya muhimu ingia dukani mwenyeweFundi wa umeme amenipa hizi gharama, hapo nilishavuta umeme na kufunga baadhi ya socket, na taa za nje.....
Je zina uhalisia...nyumba ni vyumba vinne...
Ahsante mkuu, but naomba ufafanuzi kwani 1.5 ameweka kuna pcs 14 na 10, pia 2.5 ameweka pcs 4 Red, blue & green....
Hapo kwenye nyaya, makadirio yake ni zaidi ya mara 4 ya uhalisia. Roller moja ina urefu wa mita 100, kwa pc 14 ni sawa na mita 1400 sawa na urefu wa kilomita 1.4Fundi wa umeme amenipa hizi gharama, hapo nilishavuta umeme na kufunga baadhi ya socket, na taa za nje.....
Je zina uhalisia...nyumba ni vyumba vinne...
Ilibidi aandike roller na sio pc, kila roller moja inakuwa na urefu wa mita 100Kwann pc badala ya meter-?
Yes mkuuIlibidi aandike roller na sio pc, kila roller moja inakuwa na urefu wa mita 100
Sio mdokozi ni mwizi kabisa mana kwa nyumba ya kawaida kama iyo unaweza kutumia roller 3-4 za 1.5 na roller 1-2 za 2.5 hahahaHapo kwenye nyaya, makadirio yake ni zaidi ya mara 4 ya uhalisia. Roller moja ina urefu wa mita 100, kwa pc 14 ni sawa na mita 1400 sawa na urefu wa kilomita 1.4
Bila kupepesa macho, huyo fundi ni mdokozi wa material