Je, gharama hizi za ‘wiring’ zina uhalisia kwa nyumba ya vyumba vinne?

Je, gharama hizi za ‘wiring’ zina uhalisia kwa nyumba ya vyumba vinne?

Fundi wa umeme amenipa hizi gharama. Hapo nilishavuta umeme na kufunga baadhi ya socket, na taa za nje.

Je, zina uhalisia kwa nyumba ya vyumba vinne?

View attachment 3172530
Hapana hizi hesabu hazina uhalisia hata ungekua na ghorofa Moja bado wire 1.5mm ni nyingi sana,
Wire 2.5mm pia ni nyingi
 
Kwenye wire kakugonga na nyundo nzito. 1.5mm pc 14 hilo jumba ni kubwa aje? Nyingi mno, hazifiki hata pc 6 nina uhakika japo nyumba siijui, kama ni hizi ramani zetu nunua 3pcs @ kaa site full time uone kama wire zitafika hata 6pcs @.
 
Ujenzi wa nyumba unasimamiaga mwenyewe au mtu mwingine? Hadi anadiriki kukuibia kwa wizi mkubwa hivi inaonekana ameshajua wewe unatapelika.

Mbali na idadi kubwa sana ya vifaa alivyoweka, hata gharama pia zipo juu. Tafuta mafundi wengine hata watatu nenda nao site, lazima utampata mmoja mwaminifu.

Siku ya kununua vifaa nenda naye au nenda wewe mwenyewe, wanaume tumepewa akili ya kusolve mambo ya kijinga kama haya. Simama kiume mzee.
 
Fundi wa umeme amenipa hizi gharama. Hapo nilishavuta umeme na kufunga baadhi ya socket, na taa za nje.

Je, zina uhalisia kwa nyumba ya vyumba vinne?

View attachment 3172530
Kwenye idadi sijui umefunga vifaa vingapi. Ungetaja ukubwa wa nyumba tungeweza kushauri. Ila nilinunuaga 3x4 kwenye 2.5mm na 2x4 kwenye 1.5 nikafunga kwenye 2 appointments zenye vyumba viwili, sebule, jiko, choo, each.

Ila Kwa bei 2.5mm ni 75,000/-, na 1.5mm ni 45,000/-. Tena hii ni bei ya sie tulionunua pcs nne nne labda. Kwa wewe wa nyingi inaweza kushuka zaidi

Cha pili, waya za 2.5mm ni za kwenye sockets, na 1.5mm ni za kwenye bulbs. Sasa hizi 1.5mm nazo unanunua pea tatu tatu kwamba umefunga "earth" mpaka kwenye bulbs au??

Kingine hivi vifaa unampa hela akanunue mwenyewe? Au unaenda kununua wewe?

Na fundi akija saiti hua anakujaga na begi la kuwekea vifaa vyake vya kazi na kuondoka nalo kila siku? Au akija nalo siku ya kwanza haondoki nalo mpaka siku ya kumaliza??
 
samahani hii 3 x4 na 2 x4 ni kitu gani
Yaani nyaya kwenye za soket zinapita tatu tatu za rangi tofauti. So nimenunua mabunda manne ya hizo nyaya, kila rangi. (Red + Green + Yellow) X 4 = 12
 
Yaani nyaya kwenye za soket zinapita tatu tatu za rangi tofauti. So nimenunua mabunda manne ya hizo nyaya, kila rangi. (Red + Green + Yellow) X 4 = 12
asante, nimekupata
 
Conduit pipe 2000 hapo tu ni wizi. Hzo nyaya zoote unaenda fungua duka nn
Fundi wa umeme amenipa hizi gharama. Hapo nilishavuta umeme na kufunga baadhi ya socket, na taa za nje.

Je, zina uhalisia kwa nyumba ya
 
Kwenye idadi sijui umefunga vifaa vingapi. Ungetaja ukubwa wa nyumba tungeweza kushauri. Ila nilinunuaga 3x4 kwenye 2.5mm na 2x4 kwenye 1.5 nikafunga kwenye 2 appointments zenye vyumba viwili, sebule, jiko, choo, each.

Ila Kwa bei 2.5mm ni 75,000/-, na 1.5mm ni 45,000/-. Tena hii ni bei ya sie tulionunua pcs nne nne labda. Kwa wewe wa nyingi inaweza kushuka zaidi

Cha pili, waya za 2.5mm ni za kwenye sockets, na 1.5mm ni za kwenye bulbs. Sasa hizi 1.5mm nazo unanunua pea tatu tatu kwamba umefunga "earth" mpaka kwenye bulbs au??

Kingine hivi vifaa unampa hela akanunue mwenyewe? Au unaenda kununua wewe?

Na fundi akija saiti hua anakujaga na begi la kuwekea vifaa vyake vya kazi na kuondoka nalo kila siku? Au akija nalo siku ya kwanza haondoki nalo mpaka siku ya kumaliza??
Kampuni gani hzo nyaya mkuu
 
Back
Top Bottom