USSR JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 10,904 Reaction score 26,184 Feb 1, 2023 #2 Alikuwa China labda wamempa yuen za kutumia USSR Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu Mtakatifu JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 4,226 Reaction score 8,879 Feb 1, 2023 #3 Mtakao tizama mje mseme wanaongea nn maana mleta mada kashindwa hata kusummarize
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Feb 1, 2023 #4 Huo mnyukano Kila Mmoja anaamin Yuko sahihi. Gwajima anaamin yeye yuko sahihi... Na hao wengine pia wanaamini wako sahihi. Haya mamikataba kwann wanayaweka Siri Siri ?.
Huo mnyukano Kila Mmoja anaamin Yuko sahihi. Gwajima anaamin yeye yuko sahihi... Na hao wengine pia wanaamini wako sahihi. Haya mamikataba kwann wanayaweka Siri Siri ?.