kyemo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 570
- 718
Kuna clip inatembea ikimuonyesha mchezaji Bernard Morrison akiwashukuru Hans Pope na Crescent Magori kwa kukamilisha usajili wake uku akiwa amevaa jezi ya Simba.
Kwa inavyoonyesha usajili huu sio wa Jana wala juzi bali toka zile sarakasi zilivyoanzishwa na Morrison,labda ni miez imepita.
Hans pope ambae amehusika kwenye usajili wa Morisson kwenda Simba inasemekana ni mjumbe wa kamati ya katiba,sheria na hadhi za wachezaji ambao watakaa kesho tarehe 10/08/2020 kutoa maamuzi juu ya sakata hilo.
Je mnadhan ni kweli haki itatendeka ilihali Simba washamtangaza kuwa ni mchezaji wao kabla ya TFF kupitia kamati yao hawajatoa maamuzi kama Morisson bado ana mkataba na Yanga au hapana.
Je maamuzi yashafikiwa na kuvuja kupitia Hans Pope ndio maana Simba wameamua kumtangaza kabisa kuwa wamemsajili Morrison.
Au kuna sarakasi imechezwa tayari ambayo Simba wanajua ni rahisi kuimudu?
Wajumbe tujadili!
Kwa inavyoonyesha usajili huu sio wa Jana wala juzi bali toka zile sarakasi zilivyoanzishwa na Morrison,labda ni miez imepita.
Hans pope ambae amehusika kwenye usajili wa Morisson kwenda Simba inasemekana ni mjumbe wa kamati ya katiba,sheria na hadhi za wachezaji ambao watakaa kesho tarehe 10/08/2020 kutoa maamuzi juu ya sakata hilo.
Je mnadhan ni kweli haki itatendeka ilihali Simba washamtangaza kuwa ni mchezaji wao kabla ya TFF kupitia kamati yao hawajatoa maamuzi kama Morisson bado ana mkataba na Yanga au hapana.
Je maamuzi yashafikiwa na kuvuja kupitia Hans Pope ndio maana Simba wameamua kumtangaza kabisa kuwa wamemsajili Morrison.
Au kuna sarakasi imechezwa tayari ambayo Simba wanajua ni rahisi kuimudu?
Wajumbe tujadili!