Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

Huyo Askofu tapeli gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Paskali ww si mwanasiasa ww ni mwanahabari na ndio maana umejitahidi kuandika habari yako kwa ufundi mkubwa ukijisahau kutumia siasa ktk andiko lako
Kama ulivyosema kazi ya kuleta maendeleo ni ya kila mwanachi lakini isiwe kwa kutegea maslahi yako. Ww unafikiri kwa nini alitumia gharama kubwa kwa hayo ulosema? Alijua atarudisha gharama yake kupitia ubunge na ndio kinachofanyika sasa
Kwa mujibu wa shughuli za kisiasa haiwezekani kugharamia vitu kisha uje uvidai kwa mlango wa nyuma hiyo ni mfumo wa rushwa unahonga mapema baadae unataka urudishiwe gizani.Kama kwa gharama aliotumia angebaki kuendelea kusaidia kama wengine wanavyosaidia na kutodai ubunge ingebaki kuwa msaada kifupi alitoa RUSHWA ili achaguliwe arejeshe gharama zake na ni dalili ya tamaa na harufu ya ufisadi hapo mbeleni atakapo pata nafasi anayoitafuta kwa udi na uvumba, ameharibu sadaka kwa maslahi yake binafsi
Halima yy alipigania haki na amani ya wana kawe na kuishauri serekali kwa kuwa inakusanya kodi za watanzania izitumiea kwa maslahi ya kawe na Tanzania pia alipinga sana mfumo wa mtu mmoja kugawa maendeleo badala ya serekali namekuwa akiishauri serekali sana kurekebisha sheria kandamizi hususan ktk vyombo vya habari na mambo ya kifisadi
Halima amekuwa akitoa elimu kwa jamii ya kutambua haki zao na mengi mengine hayaelezeki. Usimfananishe HALIMA na mtu anaetafuta uongozi kwa kutumia gharama badala ya kuwatetea ktk haki zao kwani haki ikipatikana maendeleo hutiririka
 
Kutoa fedha mfukoni sio kazi ya mbunge
 
Askofu Gwajima hachaguliki. Abakie kuwa askofu! Alisema mwenyewe kuwa ubunge na urais ni vyeo vidigo sana kwake. Sasa ametoka wapi tena Kawe??
Ni mtu kigeugeu sana kwa hiyo ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi wa watu! Na kawe is too civilized for someone like him!
Halima for Kawe! She is smart and consistent! Let us vote for her -all women, youth and all people who respect talent!!!
Halima is talent not easily found!
 
Paskali umeniboa! Gwajima amekusanya sadaka na kuzitumia kuleta maji na kusambaza ili apate hela sasa unataka kumlinganisha na Halima ambaye ametupigania wasichana, wanawake, wakazi wa sehemu mbalimbali including Mbweni, mabopande, Bara Bara ya makongo, nk,nk
 
hata usingesema kuwa wewe ni kibaraka wa rumumba still bandiko lako linkuacha ukiwa mtupu
 
Kwani ni wajibu wa mbunge kutekeleza miradi ya maendeleo kwa fedha yake mwenyewe? Mpime Mdee kwa mchango wake bungeni, mengine hayo tuiulize serikali. Tuache inafiki
 
Mchango aliofanya kwa taifa ni mkubwa mno, tungekuwa na Halima Mdee kama kumi bungeni Job Ndugai asingeendelea kuwa spika, CAG asingefukuzwa nk. kwahiyo tunahitaji akina Mdee wengi zaidi huko bungeni ili tupate maisha bora, kukaa kufikiria mitaro ya kawe huo ni ufinyu wa akiri, mahali nilipo jirani kuna waziri lkn hata bajaji haiwezi fika nyumbani kwake , barabara ni mbovu lkn kweny vyombo vya habari anasifiwa na mkulu alivyo mchapakazi
 
Wenzio watampa kura za kishindo, na Bishop. Gwajima atawashangaza wengi October hii. Bye Halima
 
Kwa maelezo yako haya ulipaswa kumchukia huyo Gwajima anaeuchukia uislam hadi kutaka kuifuta misikiti kwa sababu hizohizo za dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…