MKWANO
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 230
- 159
Nina ndungu yangu kashtakiwa mahakama ya mwanzo; kesi iko hivi.
Huyu ndugu alipelekewa simu (smart phone) na rafiki yake wa kike amsaidie kuaply kazi za Tamisemi badae sensa, amekaa na Ile simu Miezi 3, mara nyingine akawa anairusha kwa mwenye simu na ikitokea kazi sehemu anapelekewa tena.
Bahati mbaya ikapotea mikononi mwa ndugu yangu, akarepot police na Rb akapewa, then akaongea na yule dada namna ya kumfidia simu yake wakaelewana.
Sasa amejitokeza jamaa anayedai Ile simu ni yake, na alimpa yule Dada, yule jamaa kafungua kesi kumshtaki ndugu yangu, na yule dada aliyempelekea simu ndugu yuko Huru na atasimama kama shahidi wa mdai.
Je, ndugu yangu kisheria anakesi? Ushahidi wa mawasiliano baina yake na mdada kuhusu makubaliano ya kulipana upo.
Tushauriane
Huyu ndugu alipelekewa simu (smart phone) na rafiki yake wa kike amsaidie kuaply kazi za Tamisemi badae sensa, amekaa na Ile simu Miezi 3, mara nyingine akawa anairusha kwa mwenye simu na ikitokea kazi sehemu anapelekewa tena.
Bahati mbaya ikapotea mikononi mwa ndugu yangu, akarepot police na Rb akapewa, then akaongea na yule dada namna ya kumfidia simu yake wakaelewana.
Sasa amejitokeza jamaa anayedai Ile simu ni yake, na alimpa yule Dada, yule jamaa kafungua kesi kumshtaki ndugu yangu, na yule dada aliyempelekea simu ndugu yuko Huru na atasimama kama shahidi wa mdai.
Je, ndugu yangu kisheria anakesi? Ushahidi wa mawasiliano baina yake na mdada kuhusu makubaliano ya kulipana upo.
Tushauriane