Je, hapa sijalishwa Nguruwe kweli

Je, hapa sijalishwa Nguruwe kweli

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Nimepita bar fulani ina mgahawa, nimeulisa nyama choma wakasema kipande 6,000, nikasema anifungie.

Sasa nyama imechomwa, imefungwa kwenye kile kifuko cha karatasi cha khaki, ndani kuna foil, chaajabu nyama inachurusika mafuta hatari.

Je huyu ni mbuzi kweli?
 
Kama tamu, ni nguruwe.
IMG_0832.jpeg

Emb angalia mkuu kama utaelewa ingawa picha haineshi visuri
 
Ifungue mkuu, kitimoto huwa inajulikana tu maana kama umejua huwa inachuruzika mafuta bhasi ukiliona futa lenyewe utalijua..

Na pia tafuta mkristu umpe au unaogopa kufuturisha kitimoto.. Kama unaogopa, irudishe ulipoitoa au nipe lokesheni 😁
 
Ifungue mkuu, kitimoto huwa inajulikana tu maana kama umejua huwa inachuruzika mafuta bhasi ukiliona futa lenyewe utalijua..

Na pia tafuta mkristu umpe au unaogopa kufuturisha kitimoto.. Kama unaogopa, irudishe ulipoitoa au nipe lokesheni 😁
Ukiichukua uniletee na mimi
 
Back
Top Bottom