Wewe kula kitu hicho. Hutojutia.Nimepita bar fulani ina mgahawa, nimeulisa nyama choma wakasema kipande 6,000, nikasema anifungie.
Sasa nyama imechomwa, imefungwa kwenye kile kifuko cha karatasi cha khaki, ndani kuna foil, chaajabu nyama inachurusika mafuta hatari.
Je huyu ni mbuzi kweli?
Mbuzi ndio Ila Mbuzi Katoriki au muite Pig mkuu wa MezaJe huyu ni mbuzi kweli?
FANYENI KAZI NYIENimepita bar fulani ina mgahawa, nimeulisa nyama choma wakasema kipande 6,000, nikasema anifungie.
Sasa nyama imechomwa, imefungwa kwenye kile kifuko cha karatasi cha khaki, ndani kuna foil, chaajabu nyama inachurusika mafuta hatari.
Je huyu ni mbuzi kweli?
Kwani Mbuzi mchungu?Kama tamu, ni nguruwe.
Angalia usiache kijambo chako kile tupo mezaniFANYENI KAZI NYIE
Hahaha MBRRRRRR mbrrr mbrrrAngalia usiache kijambo chako kile tupo mezani
Ukiichukua uniletee na mimiIfungue mkuu, kitimoto huwa inajulikana tu maana kama umejua huwa inachuruzika mafuta bhasi ukiliona futa lenyewe utalijua..
Na pia tafuta mkristu umpe au unaogopa kufuturisha kitimoto.. Kama unaogopa, irudishe ulipoitoa au nipe lokesheni π
Siyo chenyeweView attachment 2980807
Emb angalia mkuu kama utaelewa ingawa picha haineshi visuri
View attachment 2980807
Emb angalia mkuu kama utaelewa ingawa picha haineshi visuri
Astaghafirullah ππUkiichukua uniletee na mimi