Je Harmonize atahimili visa alivyofanyiwa Alikiba?

Je Harmonize atahimili visa alivyofanyiwa Alikiba?

tofauti na mond ni nani anamzidi kiba hela!!!

au kwa vile hajanunua rolls royce mpya ya 2022[emoji16][emoji16]

kifupi umempa sifa mond sifa za kiba,kiba ndiye msanii ambaye ana maisha ya kukerea sana.
🚮🚮🚮🚮
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

IMG_3610.jpg

Thimba wa tandale.
 
Umeandika point hawawezi kuelewa WCB maana wanatetea mpaka upuuzi,
Ndo maana anasema hana rafiki.
 
Kumfananisha kiba na dai ni kumkosea heshima dai na kumpa kiki kiba. Dai ni kizaz kipya ilihali kiba ni old model ambaye anatakiwa apambanishwe na kina Afande sele . All in all mbowe sio gaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti alikiba apambanishwe na kina afande sele
 
Uzi umejaa hisia kuliko uhalisia naona huyu dada akiusoma uzi wako nina uhakika atakucheka.


seven atashangaa 😂

nguvu iliyotumika kumrudisha kiba na kumbrand kama king wa bongo flavour

"cheo ambacho hakuwahi kupewa kwenye career yake hadi watu flani walipoamua kulipigia promo kwenye media zote hadi likawa"

yaani labda mtu aseme kuna vita ilipigwa hadi akaamua kuacha muziki kwa muda nitaelewa. ila kipindi karudi, sidhani kama kuna msanii katengenezewa promo na cheo kupitia media kama kiba
 
Back
Top Bottom