ila hata kama mange mkorofi lakin hajawahi kuweka tofauti zao hadharani sasa frank ndio nini kupost kashfa vile kwa baby mama wake? ila kichambo akichopewa sidhan kama atarudia maana hata post kafuta
Ile dogo alikuwa anatafuta Kiki....Apate kuzungumziwa InstagramAlipelekwa hadi kwa Mzazi wa harmonize;akapiga sana mapicha na mawifi.
Mkuu wachanga na ufundi kitandani wapi na wapi?!Mmmh kila bwana anamzingua yeye tu? Anaeza kua na kijikasoro huyu si bure au 6×6 ni mweupee au ana kijiharufu flani ivvv sipo serious saana
Kwa hiyo umeamini mazima kabisa alichokisema/alichoandika huyo Mange kuwa ni cha kweli na kwamba hajaupindisha ukweli wala kuongeza chumvi?
Ila kuna wanaume mapunguwani wa head, hivi Frank zimo kweli!!Marekani watu wanaimba hadi makoo yanawakauka lakini hawatokii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora awe daktari tu atapata kazi yake atengeneze life yake. ....kuimba my leg
una maneno jaman, haya bhanaHuyu mbibi alitegemea ataolewa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nilijua nikikukosa hapa basi utakuwa umejitoa jf[emoji12] [emoji12]ila hata kama mange mkorofi lakin hajawahi kuweka tofauti zao hadharani sasa frank ndio nini kupost kashfa vile kwa baby mama wake? ila kichambo akichopewa sidhan kama atarudia maana hata post kafuta
hahahhahahaah acha fujo weweeeeMkuu wachanga na ufundi kitandani wapi na wapi?!
ukiwa busy unakata mauno unamsikia "yesu wangu shiiiiii yesu na Maria" huku akikata tumbo badala ya kukata kiuno
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu wako bize kufuatilia maisha ya watu kuliko afya zao.
Unataka ufundi wa kitandani wkt huna hela,tafuta hela mkuu wakikuona wenyewe tu wanapiz fasta kabla hata hujawashikaMkuu wachanga na ufundi kitandani wapi na wapi?!
ukiwa busy unakata mauno unamsikia "yesu wangu shiiiiii yesu na Maria" huku akikata tumbo badala ya kukata kiuno
Acha papara mkuu.Unataka ufundi wa kitandani wkt huna hela,tafuta hela mkuu wakikuona wenyewe tu wanapiz fasta kabla hata hujawashika
kawaida sanaAlipelekwa hadi kwa Mzazi wa harmonize;akapiga sana mapicha na mawifi.
Utashusha lini hiyo "injini" ya jamaa wa ufipa?Ukikuta demu anashabikia ufipa ujue hamna kitu hapo.