Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
ila hata kama mange mkorofi lakin hajawahi kuweka tofauti zao hadharani sasa frank ndio nini kupost kashfa vile kwa baby mama wake? ila kichambo akichopewa sidhan kama atarudia maana hata post kafuta
nikimwambia Nyani Ngabu kuwa Mange hakurupuki.....hanisikilizi........