Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
[emoji23][emoji23][emoji23]Mange kamchamba baba Bhoke hatariii nenda kwa page yake insta bado hajafutaniadisieni mwenzenu....nitakufa na kihoro mjue.......@Dinazarde.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mange kamchamba baba Bhoke hatariii nenda kwa page yake insta bado hajafutaniadisieni mwenzenu....nitakufa na kihoro mjue.......@Dinazarde.......
[emoji23][emoji23][emoji23]Mange kamchamba baba Bhoke hatariii nenda kwa page yake insta bado hajafuta
Siku ya kwanza tu ukweni kaanza kuhangahika na mapicha Instagram , ndio akomeAlipelekwa hadi kwa Mzazi wa harmonize;akapiga sana mapicha na mawifi.
Marekani watu wanaimba hadi makoo yanawakauka lakini hawatokii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora awe daktari tu atapata kazi yake atengeneze life yake. ....kuimba my legnimeiona shosti....ila Mange ana point pale......swala la baba kusema mtoto awe mwimbaji.....kwangu NO....asome kwanza......awe na career yake......uimbaji utajichanganya huko huko.....
ila duh......kazi kweli kweli......
Ayaaaah! Umechelewa. Yule dada mdomo wake ulivyo mchafu.........sijui kama anautumia kupitishia chakula!!! Nimesoma hadi nikasema hii ni fotoshopu! Kah!wa kuhusu nini.........?.....
nimeiona shosti....ila Mange ana point pale......swala la baba kusema mtoto awe mwimbaji.....kwangu NO....asome kwanza......awe na career yake......uimbaji utajichanganya huko huko.....
ila duh......kazi kweli kweli......
ila hata kama mange mkorofi lakin hajawahi kuweka tofauti zao hadharani sasa frank ndio nini kupost kashfa vile kwa baby mama wake? ila kichambo akichopewa sidhan kama atarudia maana hata post kafutanimeiona shosti....ila Mange ana point pale......swala la baba kusema mtoto awe mwimbaji.....kwangu NO....asome kwanza......awe na career yake......uimbaji utajichanganya huko huko.....
ila duh......kazi kweli kweli......
Umefutwa shosti... Yaani nimeutafutaaaaUzi wa mange umefutwa??
Duuh...Umefutwa mumie
Pole sana aisee hata mi nimewamaindi waliofutaa aaaghYani usiku wa manane nimejipinda afu wao wameufuta
bibi gani tenaHuyu mbibi alitegemea ataolewa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
You have a point... Hatujui ya upande wa piliKwa hiyo umeamini mazima kabisa alichokisema/alichoandika huyo Mange kuwa ni cha kweli na kwamba hajaupindisha ukweli wala kuongeza chumvi?
Kwa hiyo umeamini mazima kabisa alichokisema/alichoandika huyo Mange kuwa ni cha kweli na kwamba hajaupindisha ukweli wala kuongeza chumvi?