Je, Harmonize na Wolper Wameachana?

Je, Harmonize na Wolper Wameachana?

Marekani watu wanaimba hadi makoo yanawakauka lakini hawatokii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora awe daktari tu atapata kazi yake atengeneze life yake. ....kuimba my leg
Nani kukuambia kuwa hawatoki, wanamiliki mamilioni ya dola wale
 
rafiki yao waliyempigia show ya mwaka mpya atawapatanisha!
 
Nilijua nikikukosa hapa basi utakuwa umejitoa jf[emoji12] [emoji12]

Suala linalohusu watoto ni sensitive sana jamani, suprizingly alieanza huo upuuzi eti ni mwanaume!! Ngachoka.
haa haa utanikosaje hapa sasa!! yaani frank machozi jana kaniacha hoi....nilivyoona ile post tu nikakaa stand by nasubiri jibu la mange
 
Mi mbona yule mshikaji wangu kwa mama yake anawapeleka kila aina ya wanawake kuwatambulisha?

Kutambulishwa au kuvishwa pete si ishara ya ndoa, ndoa ya dhati inatoka moyoni.

Hivi tuwe wakweli tu, ni kweli huyo Wolper anakipenda hicho kitoto au ana interest zake tu?
Pale Wolper alikuwa anataka kupunguza machungu yake tu.
kwa kweli haya mamabo ya kutupia tupia picha ya kila tukio mbaya sana
 
haa haa utanikosaje hapa sasa!! yaani frank machozi jana kaniacha hoi....nilivyoona ile post tu nikakaa stand by nasubiri jibu la mange
Mie nilivyoiona sio siri nilimdharau mpaka basi.
 
Yaani nimemuamini 100%....sidhani kama kwenye swala la mtoto....kuna mtu anaweza leta utani wa kijinga........
Watu wanakana na hata kuwaua watoto wao seuze kutia chumvi katika mgogoro au mvutano na mzazi mwenza?

Kila jambo huwa lina pande walau tatu...upande wako...upande wangu...na ukweli wenyewe.

Sasa wewe hapo umeamua tu kuamini upande mmoja kwa asilimia 100 na unadhani huo upande uko sahihi bila hata ya kujua au kuyasikia ya upande mwingine.

Sawa, una haki ya kuamini chochote kile utakacho na kwa sababu yoyote ile. Na hapo nazungumzia suala la imani na ujuzi....kama unazielewa tofauti zake.

Peace out.
 
Siku zote mwanamke aliyejizeekea na kujikatia tamaa na suala la mapenzi akipata ka kijana kanakopeleka mashine vizuri huganda kama kupe
 
Bi mdashi anaahamia kwa Darasa soon ndio habri ya town
 
Haukuwa uhusiano rasmi ulikuwa ni mkataba maaluma na mkakati wa wcb kumpa kiki kijana harmonize.
Bila shaka mkataba umekwisha sasa na wolper keshakunja chake
Kwahiyo weka muziki ya darasa imeuwa kick zote mpaka kwa boss wao!!
 
Hakurupuki kivipi?

Keshatoa ushahidi kuwa Magufuli alimpiga mkewe?

Au nawe ndo mmoja wa wale ambao hata hamuhoji chochote kinachoandikwa na Mange?[emoji23] [emoji23]

'We unabisha nini wakati Mange ametuambia' [emoji23] [emoji23] [emoji23]

😵
 
Ahahahahaaa....umewaona eeh?

Yaani wao Mange akishasema tu, basi. Maneno yake ni gospel truth....

Hahahaaa kaazi kwey kwey yaaani.

Yaani nikicheki Mange anavyowashikaga masikio followers wake naishia kusema sawa!

Na utatumia nguvu sana kuwaambia kwamba alichoandika Mange siyo lazima kiwe kweli.
 

Hahahaa..yeah.

Si huwa hakurupuki....

Kwa mujibu wake Magufuli alimpiga sana mkewe hadi huyo mkewe akapoteza fahamu na kupelekea kulazwa Muhimbi.

Hiyo nayo uliiamini asilimia 100?

Au akishasema Mange tu kwako ni tosha kabisa?
 
Back
Top Bottom