Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,941
Yaani huyo demu Lumumba mlimsajili kwa ela nyingi Na kumpa nafasi ya kuutubia kwenye mkutano mkuu Wa chama mbele ya mwenyekitiUkikkt demu anashabikia ufipa ujue hamna kitu hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyo demu Lumumba mlimsajili kwa ela nyingi Na kumpa nafasi ya kuutubia kwenye mkutano mkuu Wa chama mbele ya mwenyekitiUkikkt demu anashabikia ufipa ujue hamna kitu hapo.
Unaonaje na wewe ukihamia kwangu, full mi-selfie halafu tunaiweka JF!Atahamia kwa rayvan mpaka awamalize wcb yote
ha hahaahhahhaaaaaaaaaaaa mama yanguMkuu wachanga na ufundi kitandani wapi na wapi?!
ukiwa busy unakata mauno unamsikia "yesu wangu shiiiiii yesu na Maria" huku akikata tumbo badala ya kukata kiuno
Mpaka wakomeUnaonaje na wewe ukihamia kwangu, full mi-selfie halafu tunaiweka JF!
Sawa sawa we jamaa unaelewa mambo...Haukuwa uhusiano rasmi ulikuwa ni mkataba maaluma na mkakati wa wcb kumpa kiki kijana harmonize.
Bila shaka mkataba umekwisha sasa na wolper keshakunja chake
Lakini "mambo yetu"alikuwa anakula au?Haukuwa uhusiano rasmi ulikuwa ni mkataba maaluma na mkakati wa wcb kumpa kiki kijana harmonize.
Bila shaka mkataba umekwisha sasa na wolper keshakunja chake
Unajua kitu inaitwa barua tomb..*?Alipelekwa hadi kwa Mzazi wa harmonize;akapiga sana mapicha na mawifi.
Aisee... itakuwa tamu hiyo hadi Faru John atafahamu kwamba kuna amazing couple somewhere!!!Mpaka wakome