Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Waulize wenyewe Ila wakishamaliza mkataba wanakua smart sanaJe, harufu ya petrol ndiyo inaharibu akili za waendesha bodaboda?
Hapana, cyo petrol isipokuwa mazoea ndyo changamotoKijana kabla hajaanza kuendesha pikipiki (boda boda) anakuwa timamu. Ila baada ya kuanza hiyo kazi anakuwa rafu sana, haogopi kuendesha pikipiki speed 120 au kupita katikati ya masemi barabarani au kupiga norinda.
Je, harufu ya petrol ndiyo inaharibu akili za waendesha bodaboda?
Inabidi wataalamu wetu wafanye research juu ya hiliKijana kabla hajaanza kuendesha pikipiki (boda boda) anakuwa timamu. Ila baada ya kuanza hiyo kazi anakuwa rafu sana, haogopi kuendesha pikipiki speed 120 au kupita katikati ya masemi barabarani au kupiga norinda.
Je, harufu ya petrol ndiyo inaharibu akili za waendesha bodaboda?
ya kina Mwachiluwimakundi chochezi.
NakaziaBasi wale wauzaji wa mafuta kwenye vituo vya mafuta wangekuwa wahanga zaidi ya madereva bodaboda.
πππ ππππππ π πππππ Wapuuzi Sana Boda Yaani Bure KabisaHoni kwao ndio breki.. unamkuta yupo 100 anapiga honi tu hata kama mbele kuna shida ye honi tu.. wao ukisikia breki kinachofata ni mlio wa kubum...π€£
Naunga Mkonyo HojaNakazia
na kitank cha petroli kipo mbele pale akibugia tangu asubuh hadi Jioni umelewa vizur sana hawezi kuona mataa wala mashimo.Kijana kabla hajaanza kuendesha pikipiki (boda boda) anakuwa timamu. Ila baada ya kuanza hiyo kazi anakuwa rafu sana, haogopi kuendesha pikipiki speed 120 au kupita katikati ya masemi barabarani au kupiga norinda.
Je, harufu ya petrol ndiyo inaharibu akili za waendesha bodaboda?
π€£hawa mafisa usafirishaji wana tamaa ya kufa kwa haraka sana dahπ€£π€£π€£ wengine arobaini na tisa elfu wamekimbia mtihani wa kumaliza darasa la saba jana
Wanapiga jaramba kuanza kazi ya bodaboda mkoani kigoma
Asilimia 99.5 ya waendesha Boda boda ni wavuta BANGI.Kijana kabla hajaanza kuendesha pikipiki (boda boda) anakuwa timamu. Ila baada ya kuanza hiyo kazi anakuwa rafu sana, haogopi kuendesha pikipiki speed 120 au kupita katikati ya masemi barabarani au kupiga norinda.
Je, harufu ya petrol ndiyo inaharibu akili za waendesha bodaboda?
binafsi hii harufu naipenda sana, chumbani nna dumu lina diesel kidogo,harufu ya petrol